[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijuwi kwa nini yaan ndo tabu ya kuvuta mbichi.
Historia nzuri japo sehemu ya Usaliti kwa Aboud Jumbe na role yake kwny kupinga serikal 3 mwaka 1983_84 umeiacha
Huyu Seif tangu awe Cuf kwa miaka zaid ya 20 amekuwa 'aki print' fomu moja tu ya kwake kugombea urais na huenda hiyo tabia akaiambukiza ACT mwaka huu
Seif ni mbinafsi na mtu mwenye kinyongo sana hafai kabisa
Ndio maana nineandika nnqchokijua mimi yaliyobakia mutuletee ili tupate kujua zaidi
Mbona umemwaga vyote kama ndio ameapishwa kuwa rais au ni marehemu.
Sefu akiwa na ccm wenzieMwalimu, Warioba na Kawawa wakiwa na The Zanzibar Four (SAS, Mwinyi, Wakil na Seif)
Wee jamaaa ni nomaMbona umemwaga vyote kama ndio ameapishwa kuwa rais au ni marehemu.