Uchambuzi: Usajili wa Simba ni kama ujenzi wa mnara wa babeli

67
 
Kipindi timu Ina muhitaji manzoke ......wao waka mleta Dejan [emoji23]
5074
 
Unadhani Kwann top quality players waliachwa dar....kule kilienda kikosi c??
Alichoahidi katika mashindano ya kombe la Mapinduzi huyo mkulima wa cabbage kutoka Argentina kinapingana na wewe yaani hata kama kilienda kikosi L bado kocha alijipanga kutwaa kombe, basi tuseme Gamondi hana uelewa wala mbinu zozote za soka ila wewe chura una mbinu nyingi, kwa nini hujateuliwa kuwa kocha wa Uto we chura wahed?
 

Attachments

  • 1704732218203.jpg
    326.8 KB · Views: 2
Shida washabiki wa Simba nao wakiwa wanashinda shida ukiwaambia ukwel wanakuja juu wakidinywa wanaanza kubweka na mangungu na try again akili za viongoz vinasadifu Akili za washabiki
Ndo hivyo mkuu...hawajui walitendalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…