Uchambuzi....VAR ilikuwa msaada sahihi kwa mwamuzi kuamua lile ni goli?

Uchambuzi....VAR ilikuwa msaada sahihi kwa mwamuzi kuamua lile ni goli?

ikiumasema

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2015
Posts
923
Reaction score
1,299
Habari za asubuhi wakuu...Ni siku nyingine mpya kabisa na matukio hayakosekani wadau wa soka...twende kwenye mada
Moja.....VAR Sio msaada sahihi wa kuamua kama mpira umevuka mstari wa goli au la!
Pili....Teknolojia sahihi ya kuamua kama mpira umevuka mstari wa goal Inaitwa goal line decision system...hii ndio ilipaswa iwepo ili kuamua kama ule mpira ulivuka mstari wa goal au la.
Tatu.....Kama kulikuwa hakuna goal lin decision system na wakaamua kutumia VAR Nini kilipaswa kufanyika?.....ilibidi watuoneshe kwa kutumia angle ya pembeni au kwa juu kuona kama mpira ulivuka au la,Sasa VAR wao wali rely on front view yaan picha ya mbele to which clearly imewabakiza watu na malalamiko mengi sana.
Maoni Yangu....Wakati goli la Lampard linakataliwa pale pale South waingereza walikuja na mwarobaini wa huu ujinga nao ni goal line decision system.......wanaongalia soka wanaielewa hili......Caf wawekeze kwenye Hii Teknolojia badala ya kutumia VAR sehemu ambayo siyo sahihi.....
Swali langu.......Hivi kwenye mazingira kama haya kisheria nani anayepaswa kupewa benefit of the doubt Yanga waliofanya effort au Mamelodi?
Mwisho.....Mimi ni nani nisiseme lile ni goli halali?....Labda kama ningekuwa pale kwenye VAR room ningeelewa mengi zaid...

Let's come back stronger than Ever......Viva Young Africans
 
Huyo refa ni Arajiga wa Mamelody kama alivyo Arajiga wa Yanga anavyowabeba kwenye NBC league na Azam Confederation Cup. Kwa hiyo mmeamini malipo ni hapa hapa duniani. Tuna mechi kibao ambazo Yanga imezulumu ushindi wa timu nyingine kwa sababu tu ya refa kama Arajiga na wengineo wenye mahaba na Yanga. Na mkiendelea kukaza fuvu nitaweka clip zake hapa
 
Huyo refa ni Arajiga wa Mamelody kama alivyo Arajiga wa Yanga anavyowabeba kwenye NBC league na Azam Confederation Cup. Kwa hiyo mmeamini malipo ni hapa hapa duniani. Tuna mechi kibao ambazo Yanga imezulumu ushindi wa timu nyingine kwa sababu tu ya refa kama Arajiga na wengineo wenye mahaba na Yanga. Na mkiendelea kukaza fuvu nitaweka clip zake hapa
Ni kweli kabisa japo kwa kuwa kwa maelezo yako Arajiga anaibeba Yanga, hiyo haitoi uhalali wa kilichofanyika kwenye mashindano ya robo fainali. Pia wakati unaeleza kuhusu Arajiga usisahau kumtaja Tatu Malongo.
 
Huyo refa ni Arajiga wa Mamelody kama alivyo Arajiga wa Yanga anavyowabeba kwenye NBC league na Azam Confederation Cup. Kwa hiyo mmeamini malipo ni hapa hapa duniani. Tuna mechi kibao ambazo Yanga imezulumu ushindi wa timu nyingine kwa sababu tu ya refa kama Arajiga na wengineo wenye mahaba na Yanga. Na mkiendelea kukaza fuvu nitaweka clip zake hapa
Nimeondoa emotions.....nimeongea facts........hiyo ndio tofaut yangu na Yako mkuu
 
Huyo refa ni Arajiga wa Mamelody kama alivyo Arajiga wa Yanga anavyowabeba kwenye NBC league na Azam Confederation Cup. Kwa hiyo mmeamini malipo ni hapa hapa duniani. Tuna mechi kibao ambazo Yanga imezulumu ushindi wa timu nyingine kwa sababu tu ya refa kama Arajiga na wengineo wenye mahaba na Yanga. Na mkiendelea kukaza fuvu nitaweka clip zake hapa
Ref hana kosa kosa ni VAR na line technology, hata angelikubali Var ingelijata tu.
 
Huu mjadala ufungwe,
Tugange yajayo......!💚💛🤸‍♀️
 
Habari za asubuhi wakuu...Ni siku nyingine mpya kabisa na matukio hayakosekani wadau wa soka...twende kwenye mada
Moja.....VAR Sio msaada sahihi wa kuamua kama mpira umevuka mstari wa goli au la!
Pili....Teknolojia sahihi ya kuamua kama mpira umevuka mstari wa goal Inaitwa goal line decision system...hii ndio ilipaswa iwepo ili kuamua kama ule mpira ulivuka mstari wa goal au la.
Tatu.....Kama kulikuwa hakuna goal lin decision system na wakaamua kutumia VAR Nini kilipaswa kufanyika?.....ilibidi watuoneshe kwa kutumia angle ya pembeni au kwa juu kuona kama mpira ulivuka au la,Sasa VAR wao wali rely on front view yaan picha ya mbele to which clearly imewabakiza watu na malalamiko mengi sana.
Maoni Yangu....Wakati goli la Lampard linakataliwa pale pale South waingereza walikuja na mwarobaini wa huu ujinga nao ni goal line decision system.......wanaongalia soka wanaielewa hili......Caf wawekeze kwenye Hii Teknolojia badala ya kutumia VAR sehemu ambayo siyo sahihi.....
Swali langu.......Hivi kwenye mazingira kama haya kisheria nani anayepaswa kupewa benefit of the doubt Yanga waliofanya effort au Mamelodi?
Mwisho.....Mimi ni nani nisiseme lile ni goli halali?....Labda kama ningekuwa pale kwenye VAR room ningeelewa mengi zaid...

Let's come back stronger than Ever......Viva Young Africans

View: https://youtu.be/gcAH4Qm5M84?feature=shared
 
Habari za asubuhi wakuu...Ni siku nyingine mpya kabisa na matukio hayakosekani wadau wa soka...twende kwenye mada
Moja.....VAR Sio msaada sahihi wa kuamua kama mpira umevuka mstari wa goli au la!
Pili....Teknolojia sahihi ya kuamua kama mpira umevuka mstari wa goal Inaitwa goal line decision system...hii ndio ilipaswa iwepo ili kuamua kama ule mpira ulivuka mstari wa goal au la.
Tatu.....Kama kulikuwa hakuna goal lin decision system na wakaamua kutumia VAR Nini kilipaswa kufanyika?.....ilibidi watuoneshe kwa kutumia angle ya pembeni au kwa juu kuona kama mpira ulivuka au la,Sasa VAR wao wali rely on front view yaan picha ya mbele to which clearly imewabakiza watu na malalamiko mengi sana.
Maoni Yangu....Wakati goli la Lampard linakataliwa pale pale South waingereza walikuja na mwarobaini wa huu ujinga nao ni goal line decision system.......wanaongalia soka wanaielewa hili......Caf wawekeze kwenye Hii Teknolojia badala ya kutumia VAR sehemu ambayo siyo sahihi.....
Swali langu.......Hivi kwenye mazingira kama haya kisheria nani anayepaswa kupewa benefit of the doubt Yanga waliofanya effort au Mamelodi?
Mwisho.....Mimi ni nani nisiseme lile ni goli halali?....Labda kama ningekuwa pale kwenye VAR room ningeelewa mengi zaid...

Let's come back stronger than Ever......Viva Young Africans
Acheni kelele hizo Mwakarobo Jr,Si mngefunga hizo penati mkathibitusha ubora wenu mnapiga utafikiri mmekunywa pombe aina ya pingu watu wenyewe hata Accurate pass 100 zimewashinda katika mchezo mzima na wastani wa kugusa mpira mara Moja katika Kila dakika halafu seriously eti mnataka muende Semi Final Kweli Kwa bahati nasibu?kazi kushika Bomba tu hata possession ya ya Jumla ya 50% katika mechi mbili ya Dar na Pretoria mlishindwa kufika. msituchoshe na nyuzi zenu za kutetea ujinga Kwa mpira upi mwende semi Final ya CaFCL,toeni huo mwiko Nyuma akili ziwarudie,mkajipange upya nyie Mwakarobo Jnr..Pathetic
 
Habari za asubuhi wakuu...Ni siku nyingine mpya kabisa na matukio hayakosekani wadau wa soka...twende kwenye mada
Moja.....VAR Sio msaada sahihi wa kuamua kama mpira umevuka mstari wa goli au la!
Pili....Teknolojia sahihi ya kuamua kama mpira umevuka mstari wa goal Inaitwa goal line decision system...hii ndio ilipaswa iwepo ili kuamua kama ule mpira ulivuka mstari wa goal au la.
Tatu.....Kama kulikuwa hakuna goal lin decision system na wakaamua kutumia VAR Nini kilipaswa kufanyika?.....ilibidi watuoneshe kwa kutumia angle ya pembeni au kwa juu kuona kama mpira ulivuka au la,Sasa VAR wao wali rely on front view yaan picha ya mbele to which clearly imewabakiza watu na malalamiko mengi sana.
Maoni Yangu....Wakati goli la Lampard linakataliwa pale pale South waingereza walikuja na mwarobaini wa huu ujinga nao ni goal line decision system.......wanaongalia soka wanaielewa hili......Caf wawekeze kwenye Hii Teknolojia badala ya kutumia VAR sehemu ambayo siyo sahihi.....
Swali langu.......Hivi kwenye mazingira kama haya kisheria nani anayepaswa kupewa benefit of the doubt Yanga waliofanya effort au Mamelodi?
Mwisho.....Mimi ni nani nisiseme lile ni goli halali?....Labda kama ningekuwa pale kwenye VAR room ningeelewa mengi zaid...

Let's come back stronger than Ever......Viva Young Africans
Viva Young Africans, Viva forever...
 
Acheni kelele hizo Mwakarobo Jr,Si mngefunga hizo penati mkathibitusha ubora wenu mnapiga utafukiri mmekunywa pombe aina ya pingu?watu wenyewe hati pass 100 zimewashinda katika mchezo mzima na wastani wa kugusa mpira mara Moja katika Kila dakika halafu seriously eti mnataka muende Semi Final Kweli Kwa bahati nasibu?kazi kushika Bomba tu hata possession ya ya Jumla ya 50% katika mechi mbili ya Dar na Pretoria mlishindwa kufika. msituchoshe na nyuzi zenu za kutetea ujinga Kwa mpira upi mwende semi Final ya CaFCL,toeni huo mwiko Nyuma akili ziwarudie,mkajipange upya nyie Mwakarobo Jnr..Pathetic
Wanawake Huwa wanaongea jinsi emotions zao zinavyowaendesha.....yaan mfano mwanamke akiwa anakuchikia ataeleza jinsi ulivyo na sura mbaya mwonekano mbaya n.k.......sasa hapo umeeleza kama mwanamke
 
Wanawake Huwa wanaongea jinsi emotions zao zinavyowaendesha.....yaan mfano mwanamke akiwa anakuchikia ataeleza jinsi ulivyo na sura mbaya mwonekano mbaya n.k.......sasa hapo umeeleza kama mwanamke
Kunywa maji Mwakarobo Jnr badala ya Kuja na facts unaleta uharo,toa huo mwiko Nyuma upate akili
 
Wale yanga wapumbavu sana.

Kwanini walishindwa kumzonga na kumuamuru refa akaangalie VAR.

REFA ALITAKIWA AZONGWE HADI AENDE KWENYE VAR.
 
Back
Top Bottom