Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

Awafute hata washauri wa mgambo wa wilaya na mikoa!
 

kwaio unataka misosi ya mama ntilie imwagwe ?
 
Wasalaaam Wakuu,

Huku zikiwa zimebaki siku 30 kupiga kura mnyetishaji wangu amesema Magufuli kwa wakati tofauti amekili kuwa hao mabwana walishaiuza nchi kwa mikataba mibovu na isiyo na tija na anahisi atapata wakati mgumu sana kupata fedha kama akiwa Rais na amepinga vikali fedhaha ya kuomba omba misaada nje ilihali nchi hii ina utitiri wa Rasilimali na kuona kua hata MCC ni afadhali wamezuia fedha na kutucheka kwa kua hatutaki kujitegemea hata kwa yale yanayowezekana.
 
Magufuli ambaye ndani ya team yake ya kampeni anaitwa bwana haambiliki au Mr haambiliki wala kushaurika ameamua kupasua jipu na amekumbushia pia suala la mikataba ya mererani Arusha hapo ndio patamu wanaanza kugeukana wenyewe na hawaelewani lugha
 
Magufuli ambaye ndani ya team yake ya kampeni anaitwa bwana haambiliki au Mr haambiliki wala kushaurika ameamua kupasua jipu na amekumbushia pia suala la mikataba ya mererani Arusha hapo ndio patamu wanaanza kugeukana wenyewe na hawaelewani lugha

Wakati EL anasema atapitia upya mikataba ya gesi waliseeeeeeemaaaaaa... Haya sasa...
 
CCM wametutenda vibaya Sana ndio maana wanatuambia tumchague Magufuli na tusiichague CCM maana haikubaliki
 
Mchezo unaanza kunoga, mimi nasubiri tu atuahidi na Katiba ya wananchi.
Mzee Mwanakijiji kanihakikishia kunifikishia hili kwa Magufuli
 
Last edited by a moderator:
Sasa CCM wamekuja na style mpya. baada ya JK kubanwa huko Marekani kuhusu hilo la Magufuli kukosoa serikali yao wenyewe kaja na ujanja eti hata yeye anaunga mkono msimamo wa Magufuli kukosoa.
Mie nadhani alijibu holo haraka kwa vile hakuwa na jinsi, ila akirudi huko kitawaka tuu wenyewe kwa wenyewe. Ndio maana timu yake imesambaratika kwani wenzake wanamshangaa kuwa mbona tunasemana kuwa ni wabovu wakati tulikuwa wote na bado tuko wote serikalini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…