Dereva wa Kirikuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 751
- 624
Watu tumeamka ahadi zao za uongo hatutaki#team lowassa
CCM wametutenda vibaya Sana ndio maana wanatuambia tumchague Magufuli na tusiichague CCM maana haikubaliki
Wadau kuna matangazo yanarushwa zaidi na channel ten.Moja ni watu wako nje wanataka huduma huko ofisini jamaa anasoma gazeti na kunywa chai.Mara eti Magufuri akiingia yataisha.
Jingine nila kuchelewa mikopo ya wanafunzi mpaka wanaandamana anatokea mzee na kusema eti Magufuri akiingia mikopo nje nje.
Sasa najiuliza Magufuli huyu mwaka 2008-2009 tuligoma UDSM wakati yeye anasoma Phd hapo hapo lakini akufanya lolote angalau wanafunzi tupate mikopo au kuonyesha namna tuweze tatua matatizo yetu.
Sikuwai kumsikia Magufuri akiwatetea wanavyuo ili wapate mikopo iweje leo. Je ajui kua CCM ndo imesababisha haya yote tunayolia nayo.
Wadau kuna matangazo yanarushwa zaidi na channel ten.Moja ni watu wako nje wanataka huduma huko ofisini jamaa anasoma gazeti na kunywa chai.Mara eti Magufuri akiingia yataisha.
Jingine nila kuchelewa mikopo ya wanafunzi mpaka wanaandamana anatokea mzee na kusema eti Magufuri akiingia mikopo nje nje.
Sasa najiuliza Magufuli huyu mwaka 2008-2009 tuligoma UDSM wakati yeye anasoma Phd hapo hapo lakini akufanya lolote angalau wanafunzi tupate mikopo au kuonyesha namna tuweze tatua matatizo yetu.
Sikuwai kumsikia Magufuri akiwatetea wanavyuo ili wapate mikopo iweje leo. Je ajui kua CCM ndo imesababisha haya yote tunayolia nayo.
Wadau kuna matangazo yanarushwa zaidi na channel ten.Moja ni watu wako nje wanataka huduma huko ofisini jamaa anasoma gazeti na kunywa chai.Mara eti Magufuri akiingia yataisha.
Jingine nila kuchelewa mikopo ya wanafunzi mpaka wanaandamana anatokea mzee na kusema eti Magufuri akiingia mikopo nje nje.
Sasa najiuliza Magufuli huyu mwaka 2008-2009 tuligoma UDSM wakati yeye anasoma Phd hapo hapo lakini akufanya lolote angalau wanafunzi tupate mikopo au kuonyesha namna tuweze tatua matatizo yetu.
Sikuwai kumsikia Magufuri akiwatetea wanavyuo ili wapate mikopo iweje leo. Je ajui kua CCM ndo imesababisha haya yote tunayolia nayo.
wadau kuna matangazo yanarushwa zaidi na channel ten.moja ni watu wako nje wanataka huduma huko ofisini jamaa anasoma gazeti na kunywa chai.mara eti magufuri akiingia yataisha.
Jingine nila kuchelewa mikopo ya wanafunzi mpaka wanaandamana anatokea mzee na kusema eti magufuri akiingia mikopo nje nje.
Sasa najiuliza magufuli huyu mwaka 2008-2009 tuligoma udsm wakati yeye anasoma phd hapo hapo lakini akufanya lolote angalau wanafunzi tupate mikopo au kuonyesha namna tuweze tatua matatizo yetu.
Sikuwai kumsikia magufuri akiwatetea wanavyuo ili wapate mikopo iweje leo. Je ajui kua ccm ndo imesababisha haya yote tunayolia nayo.