Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

Chagua magufuli at your own risk
 
Magufuli ndio rais wako kijana
Haya endelea na kiroba
Asubuhi njema

Yaani ccm wote ni matusi tu, ngoja niwashauri. Kiongozi mzuri ni yule anayewashawishi na wapinzani wake kwa lugha nzuri sio matusi. Magufuri mwenyewe sasa hivi amegundua na anaomba ukawa na chadema tumpe pawa yetu, wewe umeng'ang'ana na kashfa tu. Sio vizuri haipendezij
 
Tunamkataa kwa kuwa ujinga wote huu umeletwa na ccm iyo iyo. Another greater mind should be allowed to overrule such setbacks.
Ilani ya ccm ndio inayonifanya nimnyime magufuli kura!!
 
Wana jamvi , katika kuonyesha kuwa ahadi ya magufuri kufufua viwanda haitekelezeki ni kwambata ajaonyesha nia ya kuwashtaki walio viua na kuviuza. Wakurugenzi wengi walioviaribu bado wapo, isitoshe bado wanatanua mjini na fedha walizoiba. Kama magufuri angetangaza nia ya kuwashtaki ningemuona mgombea bora. Hivi vitakufa kwa njia ile ile
 
Mambo yote anayoyaongea ni anawahadaa wananchi, mathalan kulalamika juu ya ukosefu wa umeme Kwani haelewi mambo ya serikali yake? Asituhadae, kusema ni wakati wa mabadiliko nk nk hii ni mbinu ya kuwachanganya wananchi mawazo na wasielewe ubovu wa ccm.
 
Watanzania wamesha amua! Anajisumbua tu!
 
Uloi nga mâché68;14238835 said:
Ndiyo Watanzania wameshaamua ni Magufuli tu

Ha ha ha! Chezea hapa kazi tu, Tumeshamuelewa sana Magufuli, kura atapata za kutosha mpaka kupitiliza kuliko wanavyofikiri, huo ndo ukweli acheni kujitoa fahamu, EL ndo nani.... Ha ha ha ha! acha nicheke mie, yaani kiulaini kabisa ikulu njia nyeupe kwa JPM.
 
sasa ccm wanalalamika et umeme, sasa wanamlalamikia nani
 
Kweli Maisha bora kwa kila mtanzania MNA ROHO NGUMU MACCM PAMOJA NA SHIDA ZA BABA NA MAMA ZENU BADO HAMBADILIKI!
 
Unasikitisha kweli... Yaani bado tu haujamuelewa JPM, basi unahitaji tuisheni.... Hapa kazi tu, wengine Tumeshashtuka, rudi kundini hata kimya kimya.
 

Upotevu wa billion 256 wizara ya ujenzi kupitia report ya CAG ameisha itolea ufafanuzi?
 

Kama kigezo ni push up atapita tu!!Njia nyeupe ya ikulu ni kwa watu wenye mioyo myeupe,roho nyeupe na nywele nyeupe.
 
Ushalamba zako dila, khanga, Tshirt, kofia, pakiti ya chumvi na elfu tatu. Lazima uchetuke tu...MOFO..!!!
 
CCM ni Zimwi linalo itafuna hii nchi bila huruma.
 

CCM ni chama na kama ni kibovu watu ndiyo wabovu na bahati mbaya sana watu wale wabovu wamekimbilia kwenye tumaini letu watanzania na kwa lugha rahisi CCM sasa ni safi na ubovu uko upinzani. Mbona mnashindwa kuelewa vitu simple kiasi hiki jamani? Ukweli mnakera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…