BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,508
- 11,897
Magufuli ameapa kuwa mara baada ya kuapishwa atarudisha ranchi za taifa zilizoporwa na LOwassa pamoja na sumaye zitakuwa mali ya serikali kwa kuwa zilichukuliwa kifisadi bila kufata utaratibu,sheria pamoja na kanuni
Jee familia ya Kikwete ataigusa?