Pre GE2025 Uchambuzi wa Kauli Mbiu ya CCM ya Uchaguzi Mkuu 2025: Kazi na Utu, Tunasonga mbele

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
"Utu" upi. Wa kuteka watu na kuwapoteza na wengine kuuliwa.
"Utu" kulaghai na udanganyifu kwa kila jambo linalofanywa na serikali?

"Utu" gani wa kuvuruga uhuru na haki za watu kuwachagua viongozi wanao wataka wenyewe?
"Utu", muulizeni Dr Slaa kama mlimfanyia utu kwa kumfunga ferezani bila ya hatia yoyote.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ