CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Nelson Mandela ALIPATA kusema.
"WAPUMBAVU huongezeka WEREVU wakikaa kimya"
FICHA UPUMBAVU WAKO
"WAPUMBAVU huongezeka WEREVU wakikaa kimya"
FICHA UPUMBAVU WAKO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jamaa jinga sana.[emoji599]HAJI MANARA YANGA WANAWEZA KUINUNUA SIMBA
Anaandika HAJI MANARA
"Hakuna Shortcut katika kufanikiwa,na lazma tubadilike, tuishi Kiuhalisia na tuache porojo,Washabiki wetu wa leo sio wajinga wajinga na wamebahatika kuishi kwenye dunia ya teknolojia na mitandao ya kijamii!!
Tusiwe na akili ya huyo Njemba ambae tunapigwa fix baada ya kunywa Petrol kama sio diesel katoka nduki kuliko Benz.
Bajeti ya msimu ujao ya Yanga Bilioni Ishirini,ni sawa na pesa ambazo Makolo wameuza Club yao ( hadi leo senti nyekundu hawajapewa) yaani Kiufupi msimu ujao Yanga wanaweza kuacha kila kitu wakainunua FC kolo na kuigeuza Club ya Pombe au kituo cha kujifunza ulevi.
Je ukitoa ushabiki .. unadhani manara ana facts??
View attachment 2668659
Wewe haupo katika wale wawili wenye akili pale Yanga ndio maana maoni ya Manara unayaita Facts.Kivp wakati kachambua Kwa facts
Thamani imekua......mbona mudi hajaongeza mpunga Kwa kolozHili jamaa jinga sana.
MO alinunua hisa 49% za Simba Kwa hizo 20Bil hivyo ukitaka bei ya Simba ya 100% ni zaidi ya 40Bil.
Pia hii ni bei ya miaka hiyo (labda 5 years back) na ni wazi hapa kati Simba imekua ki thamani Kwa kiwango kikubwa hivyo yaweza kuzidi hata mara ya mbili ya wakati huo.
Hesabu kama hizi mtu kama Manara na Wana Yanga wengine hawawezi kuzijua sababu ya ukweli tu kua wenye akili pale Yanga ni wawili tu.
Ngoja nimwambie max, unatukana 😀😀😀😀
Weeeee Jamaa una dhambi Sana na pepo huioni... 😀😀😀😀[emoji23]
Unapima vipi ukuaji wa thamani ya club? Kwamba watu wakiweka hela ndio club imekua?Thamani imekua......mbona mudi hajaongeza mpunga Kwa koloz
Unadhani Kwann watu hawaweki pesa ndefu Kwa kmcUnapima vipi ukuaji wa thamani ya club? Kwamba watu wakiweka hela ndio club imekua?
Club inakua value Kwa kufanya vizuri kimataifa na kuanza kufahamika nje ya mipaka yako. Ukitaka kuidhamini Simba miaka 6 iliyopita ni tofauti na ukitaka kuidhamini Sasa, vivyo hivyo Kwa Yanga pia.
Huenda kuna kundi kubwa la watu (watanzania) hawaelewi maana ya Bajeti. Ukizungumzia Bajeti, maana yake mapato na matumizi yamebalance, kwamba hakuna fedha itakayosalia. Kwa maana hiyo, kama bajeti ya Yanga ni 20B, maana yake ni kwamba wamepanga kupata mapato ya sh. 20B na kuzitumia sh. 20B zote. Sasa hapo hela ipi itainunua Simba wakati zote zimeisha kwenye matumizi mengine? 😁😁😁Bajeti ya msimu ujao ya Yanga Bilioni Ishirini,ni sawa na pesa ambazo Makolo wameuza Club yao
Nilikuwa natafuta comment murua kama hii kabla sijakometi. Manara ni mjinga kama ambavyo alivyo yule earpod jorno.Hili jamaa jinga sana.
MO alinunua hisa 49% za Simba Kwa hizo 20Bil hivyo ukitaka bei ya Simba ya 100% ni zaidi ya 40Bil.
Pia hii ni bei ya miaka hiyo (labda 5 years back) na ni wazi hapa kati Simba imekua ki thamani Kwa kiwango kikubwa hivyo yaweza kuzidi hata mara ya mbili ya wakati huo.
Hesabu kama hizi mtu kama Manara na Wana Yanga wengine hawawezi kuzijua sababu ya ukweli tu kua wenye akili pale Yanga ni wawili tu.
Hapi utopoloni wajinga ni wengiKwanini mkuu
Hadhi ya budget mkuu......ni sawa na thamani ya simbaHuenda kuna kundi kubwa la watu (watanzania) hawaelewi maana ya Bajeti. Ukizungumzia Bajeti, maana yake mapato na matumizi yamebalance, kwamba hakuna fedha itakayosalia. Kwa maana hiyo, kama bajeti ya Yanga ni 20B, maana yake ni kwamba wamepanga kupata mapato ya sh. 20B na kuzitumia sh. 20B zote. Sasa hapo hela ipi itainunua Simba wakati zote zimeisha kwenye matumizi mengine? [emoji16][emoji16][emoji16]