Uchambuzi wa Shaffih Dauda na kuvuruga ari ya watanzania

Huhuhuhuhu yani mkawafunge au kutoa sare kule Kongo?! Hivi inakuaje mtu unaota ndoto kama hii?!
hayawahusu .mna mechi na mwadui leo hizo ndo level zenu halafu makambo kakosa nauli ya kurudi bongo,mtumieni kwa airtel money
 
hayawahusu .mna mechi na mwadui leo hizo ndo level zenu halafu makambo kakosa nauli ya kurudi bongo,mtumieni kwa airtel money
Mkuu njia pekee ya Mikia kucheza kimataifa msimu ujao ni mbili. Achukue ubingwa Ligi kuu au Aingie fainali ya klabu bingwa Afrika which is future funny tense. Sasa kama unaona akina mwadui wanamuhusu Yanga tu basi Aden Rage yupo sahihi kuhusu lile jina alilowapa.
 
mtumieni makaambo nauli ya kurudi kakwama congo,hayo mengine yaacheni jamani.
 
mtumieni makaambo nauli ya kurudi kakwama congo,hayo mengine yaacheni jamani.
Kuna mwenzako alikuja na uzi Zahera kakimbia njaa ila akasusa uzi wake. Sisi tumechagua kusikiliza kauli za viongozi wetu sio kauli za Mbumbumbu.
 
Shafii fala tuuu aliiponda simba haichomoki kwa waarabu matokeo yake kaaibika mwenyewe. Simba hii mtaumbuka wengi .
 
mtu kusema ukweli mnaanza kumponda,kiuhalisia simba ni undedog kwenye hilo kundi lao despite kwamba wameshinda mechi yao ya kwanza ila they are real underdogs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIMBA SC imewahi kucheza fainali ya CAF confederation, imecheza hatua ya makundi CAF Champions League.

JS SAOURA ina miaka 11 toka imeanzishwa, nadhani hii ni mara yao ya kwanza kucheza hatua hii.

AL AHLY ni bingwa wa kihistoria hilo kila mtu analitambua.


AS VITA wametoka kucheza fainali juzi kati tu.


kwa mchanganuo huo nani Under dog?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shaffih anatafuta followers na wanashirikiana na manara ila kwa vile sisi wamiliki smartphone wengi tumeshtukizwa kuzipata hatujui linaloendelea
 
unaweza kuta matusi yote anayoyapakaa shafii ukute mbumbumbu hawajui maana ya underdogs!
 
Kipimo sahihi ni jmosi,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye na Marehemu Sylersaid Mziray walikuwa busy sana kumponda Marcio Maximo! Maximo alipoondoka Shaffih Dauda akaanza kuwaponda makocha wa stars huku akimsifu Maximo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…