porojo tu.....!Mchambuzi akitamka tu jina la timu,samahan mwl turudi kwanza studio kwa matangazo!Matangazo yakiisha utasikia tujiunge na mtangazaj mwenzetu aliye huko mtaani,Huyo anaongea na watu ili awape zawad kutoka kampun fulan ya simu!Akimaliza utasikia haya mchambuz fulan wap karata yako leo!Akimaliza turud studio kwa matangazo.PALE NI POROJO TU HAKUNA MCHAMBUZ WALA NINI
Ball on the Space, The man in the space, Ball in The net.
Mara nyingi Tambwe anapokuwa na mpira anajaribu kudribo ili kuweza kuwapoteza mabeki wa Simba, Na ndicho kilichotokea hapa. Hii inaitwa Free dribble, hii ni American style of playing
Kwako Enock.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.