Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
[emoji599] HATUJA STAHILI MATOKEO HAYA.
Je: ile kauli ya CEO wa KOLO kuwa makolo wame possess 36% ya taifa stars ime reflect yaliyomo?
Facts za kiuchambuzi
Ukweli lazima usemwe, baadhi ya wachezaji wa Simba wanacheza kwa kujisikia. Hawajitumi, hakuna budi kuwalaumu wao kwa kutuhujumu.
Ukimtazama AISHI MANULA.. Ambaye nd'o kipa namba moja, anafungwa magoli gani yale ya kizembe? Hivi ile penalti ya kushindwa kuokoa? Halafu tunaambiwa nd'o kipa namba moja. Kipa bora. Ni vichekesho mno.
MKUDE.. Hajitumi ipasavyo, anazunguka tu uwanjani. Ameona haitoshi akaamua kucheza faulo makusudi ili tufungwe tuondolewe. Na bado akawa hakabi.
JOHN BOCKO.. Sijajua huyu aliingia kufanya nini? Kama angekuwa hataki kucheza angekaa benchi tu kuliko kuwapa mzigo wenzake.
Yeye ni mshambuliaji, ajabu hakuna shuti hata moja alilo piga wala hakuweza kuisumbua safu ya ushambuliaji ya UGANDA. swali alikuwa ni beki au nani?
Kuna yule mdada anaye jiita C. E. O, niliona chapisho lake moja akisifia kwamba wachezaji wa timu yake wapo wengi sana timu ya taifa. Na akawataja wote na nafasi zao wanazo zicheza uwanjani.
Ajabu hao hao alio wataja ndio ambao wameshiriki kuiondoa Timu ya taifa mashindanoni.. Binafsi mimi sioni umuhimu wa wachezaji wa Simba kuwa nao kwenye timu ya taifa.
Nb / Full time SIMBA 0-3 UGANDA. Matokeo ya jumla SIMBA 0-4 UGANDA..
Swali: je unakubaliana na hili??
Nb : ushabiki tuweke pembeni
Je: ile kauli ya CEO wa KOLO kuwa makolo wame possess 36% ya taifa stars ime reflect yaliyomo?
Facts za kiuchambuzi
Ukweli lazima usemwe, baadhi ya wachezaji wa Simba wanacheza kwa kujisikia. Hawajitumi, hakuna budi kuwalaumu wao kwa kutuhujumu.
Ukimtazama AISHI MANULA.. Ambaye nd'o kipa namba moja, anafungwa magoli gani yale ya kizembe? Hivi ile penalti ya kushindwa kuokoa? Halafu tunaambiwa nd'o kipa namba moja. Kipa bora. Ni vichekesho mno.
MKUDE.. Hajitumi ipasavyo, anazunguka tu uwanjani. Ameona haitoshi akaamua kucheza faulo makusudi ili tufungwe tuondolewe. Na bado akawa hakabi.
JOHN BOCKO.. Sijajua huyu aliingia kufanya nini? Kama angekuwa hataki kucheza angekaa benchi tu kuliko kuwapa mzigo wenzake.
Yeye ni mshambuliaji, ajabu hakuna shuti hata moja alilo piga wala hakuweza kuisumbua safu ya ushambuliaji ya UGANDA. swali alikuwa ni beki au nani?
Kuna yule mdada anaye jiita C. E. O, niliona chapisho lake moja akisifia kwamba wachezaji wa timu yake wapo wengi sana timu ya taifa. Na akawataja wote na nafasi zao wanazo zicheza uwanjani.
Ajabu hao hao alio wataja ndio ambao wameshiriki kuiondoa Timu ya taifa mashindanoni.. Binafsi mimi sioni umuhimu wa wachezaji wa Simba kuwa nao kwenye timu ya taifa.
Nb / Full time SIMBA 0-3 UGANDA. Matokeo ya jumla SIMBA 0-4 UGANDA..
Swali: je unakubaliana na hili??
Nb : ushabiki tuweke pembeni