Uchambuzi wangu: Mechi itaisha Al Ahly 6 - 0 Simba

Uchambuzi wangu: Mechi itaisha Al Ahly 6 - 0 Simba

Kama ilivyo kawaida kwa mechi kubwa inavyokuja mimi kama Mchambuzi Bora hapa JF lazima nilete analysis ya mechi before Ili kumsaidia kocha kufanya right decision at right time. Japo nimemsikiliza leo naona Robertinho anaongea huku anatetemeka.

Uchambuzi wangu

Kutokana na uzito wa mechi, uwepo wa vigogo wa soka Duniani (kitu ambacho kina Saido, Chama + Kolo wote hawajazoea tofauti na Al Ahly au Yanga waliocheza Finali mbele ya vigogo wa soka Africa kule Algeria dhidi ya USM Alger). Hali hii itawafanya wachezaji wa Simba ku panic hivyo kilose confo na kuamua kujilinda zaidi kuliko kushambulia. [emoji735] Kosa hili watapigwa goli 3 za fasta. [emoji23]

Low quality players

Wafungaji wa Simba ni wazuri kwa timu zenye low profile kina horoya, Coastal, hapo utashuhudia Saidoo, Baleke anapiga goali 10+ pekee lakini wakikutana na timu kama Al Ahly wanapoteana hivyo kusababisha Al Ahly kuutawala mpira langoni kwa kolo, hapa Simba atakula 3 pia.

NB: Kwa mechi ya kesho hawa wa kina Baleke, Phil na Chama usije shangaa wakiugeuka kuwa Ngushi (chance 7 no goal) [emoji23][emoji23]baada ya kupoteana.

Mwisho, Simba 0-6 Al Ahly.

View attachment 2786432
Huyo sio kishingo kocha ambaye anajiendea tu kama kuku aliyekatwa kichwa robertinyo ni technical coach ukimfunga anafanya substitution sio kishingo anasubiria goal mpaka zinafika tano ndio anafanya maamuzi ndio maana hajafungwa mpaka sasa
 
Kama ilivyo kawaida kwa mechi kubwa inavyokuja mimi kama Mchambuzi Bora hapa JF lazima nilete analysis ya mechi before Ili kumsaidia kocha kufanya right decision at right time. Japo nimemsikiliza leo naona Robertinho anaongea huku anatetemeka.

Uchambuzi wangu

Kutokana na uzito wa mechi, uwepo wa vigogo wa soka Duniani (kitu ambacho kina Saido, Chama + Kolo wote hawajazoea tofauti na Al Ahly au Yanga waliocheza Finali mbele ya vigogo wa soka Africa kule Algeria dhidi ya USM Alger). Hali hii itawafanya wachezaji wa Simba ku panic hivyo kilose confo na kuamua kujilinda zaidi kuliko kushambulia. [emoji735] Kosa hili watapigwa goli 3 za fasta. [emoji23]

Low quality players

Wafungaji wa Simba ni wazuri kwa timu zenye low profile kina horoya, Coastal, hapo utashuhudia Saidoo, Baleke anapiga goali 10+ pekee lakini wakikutana na timu kama Al Ahly wanapoteana hivyo kusababisha Al Ahly kuutawala mpira langoni kwa kolo, hapa Simba atakula 3 pia.

NB: Kwa mechi ya kesho hawa wa kina Baleke, Phil na Chama usije shangaa wakiugeuka kuwa Ngushi (chance 7 no goal) [emoji23][emoji23]baada ya kupoteana.

Mwisho, Simba 0-6 Al Ahly.

View attachment 2786432
Sawa lakin angalia usijekufa mapema kwa nsongo wa mawazo, Madrid kachukua ndoo kwa style ya uchezaji anayoitumia simba
 
Huyo sio kishingo kocha ambaye anajiendea tu kama kuku aliyekatwa kichwa robertinyo ni technical coach ukimfunga anafanya substitution sio kishingo anasubiria goal mpaka zinafika tano ndio anafanya maamuzi ndio maana hajafungwa mpaka sasa
Mechi za ndani .... Anabebwa na refa....then cheki mechi za kimataifa.....Simba anavyostruggle
 
Kama ilivyo kawaida kwa mechi kubwa inavyokuja mimi kama Mchambuzi Bora hapa JF lazima nilete analysis ya mechi before Ili kumsaidia kocha kufanya right decision at right time. Japo nimemsikiliza leo naona Robertinho anaongea huku anatetemeka.

Uchambuzi wangu

Kutokana na uzito wa mechi, uwepo wa vigogo wa soka Duniani (kitu ambacho kina Saido, Chama + Kolo wote hawajazoea tofauti na Al Ahly au Yanga waliocheza Finali mbele ya vigogo wa soka Africa kule Algeria dhidi ya USM Alger). Hali hii itawafanya wachezaji wa Simba ku panic hivyo kilose confo na kuamua kujilinda zaidi kuliko kushambulia. [emoji735] Kosa hili watapigwa goli 3 za fasta. [emoji23]

Low quality players

Wafungaji wa Simba ni wazuri kwa timu zenye low profile kina horoya, Coastal, hapo utashuhudia Saidoo, Baleke anapiga goali 10+ pekee lakini wakikutana na timu kama Al Ahly wanapoteana hivyo kusababisha Al Ahly kuutawala mpira langoni kwa kolo, hapa Simba atakula 3 pia.

NB: Kwa mechi ya kesho hawa wa kina Baleke, Phil na Chama usije shangaa wakiugeuka kuwa Ngushi (chance 7 no goal) [emoji23][emoji23]baada ya kupoteana.

Mwisho, Simba 0-6 Al Ahly.

View attachment 2786432
Hadi unatia huruma
FB_IMG_1697705818872.jpg
FB_IMG_1697008352967.jpg
 
Kwa wababe umeshiriki baada ya miaka 25
Kwa huu mwandiko wako wewe ni mdogo kuliko muda amabao yanga hajashiriki haya mashindano[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kombe tunaenda kulileta
 
Ashki majnuun
في اللغة العربية:

نحن نادي الأهلي قد دخلنا تنزانيا...

نحن نرجو منكم أن تستمروا في دعمنا.
 
Mechi za ndani .... Anabebwa na refa....then cheki mechi za kimataifa.....Simba anavyostruggle
Ukiwa yanga kweli unabadilika wakati marefa wanaibeba yanga mwaka jana mlikuwa wapi kuwakemea marefa tulieni dawa iwaingie mwaka huu
 
Ukiwa yanga kweli unabadilika wakati marefa wanaibeba yanga mwaka jana mlikuwa wapi kuwakemea marefa tulieni dawa iwaingie mwaka huu
Tulikemea Hadi ikawa fair
 
Kama ilivyo kawaida kwa mechi kubwa inavyokuja mimi kama Mchambuzi Bora hapa JF lazima nilete analysis ya mechi before Ili kumsaidia kocha kufanya right decision at right time. Japo nimemsikiliza leo naona Robertinho anaongea huku anatetemeka.

Uchambuzi wangu

Kutokana na uzito wa mechi, uwepo wa vigogo wa soka Duniani (kitu ambacho kina Saido, Chama + Kolo wote hawajazoea tofauti na Al Ahly au Yanga waliocheza Finali mbele ya vigogo wa soka Africa kule Algeria dhidi ya USM Alger). Hali hii itawafanya wachezaji wa Simba ku panic hivyo kilose confo na kuamua kujilinda zaidi kuliko kushambulia. [emoji735] Kosa hili watapigwa goli 3 za fasta. [emoji23]

Low quality players

Wafungaji wa Simba ni wazuri kwa timu zenye low profile kina horoya, Coastal, hapo utashuhudia Saidoo, Baleke anapiga goali 10+ pekee lakini wakikutana na timu kama Al Ahly wanapoteana hivyo kusababisha Al Ahly kuutawala mpira langoni kwa kolo, hapa Simba atakula 3 pia.

NB: Kwa mechi ya kesho hawa wa kina Baleke, Phil na Chama usije shangaa wakiugeuka kuwa Ngushi (chance 7 no goal) [emoji23][emoji23]baada ya kupoteana.

Mwisho, Simba 0-6 Al Ahly.

View attachment 2786432
Una kichaa wewe.
 
Back
Top Bottom