Uchambuzi wangu: Mechi itaisha Al Ahly 6 - 0 Simba

Uchambuzi wangu: Mechi itaisha Al Ahly 6 - 0 Simba

Kama ilivyo kawaida kwa mechi kubwa inavyokuja mimi kama Mchambuzi Bora hapa JF lazima nilete analysis ya mechi before Ili kumsaidia kocha kufanya right decision at right time. Japo nimemsikiliza leo naona Robertinho anaongea huku anatetemeka.

Uchambuzi wangu

Kutokana na uzito wa mechi, uwepo wa vigogo wa soka Duniani (kitu ambacho kina Saido, Chama + Kolo wote hawajazoea tofauti na Al Ahly au Yanga waliocheza Finali mbele ya vigogo wa soka Africa kule Algeria dhidi ya USM Alger). Hali hii itawafanya wachezaji wa Simba ku panic hivyo kilose confo na kuamua kujilinda zaidi kuliko kushambulia. [emoji735] Kosa hili watapigwa goli 3 za fasta. [emoji23]

Low quality players

Wafungaji wa Simba ni wazuri kwa timu zenye low profile kina horoya, Coastal, hapo utashuhudia Saidoo, Baleke anapiga goali 10+ pekee lakini wakikutana na timu kama Al Ahly wanapoteana hivyo kusababisha Al Ahly kuutawala mpira langoni kwa kolo, hapa Simba atakula 3 pia.

NB: Kwa mechi ya kesho hawa wa kina Baleke, Phil na Chama usije shangaa wakiugeuka kuwa Ngushi (chance 7 no goal) [emoji23][emoji23]baada ya kupoteana.

Mwisho, Simba 0-6 Al Ahly.

View attachment 2786432
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa..... objective.
 
Kama ilivyo kawaida kwa mechi kubwa inavyokuja mimi kama Mchambuzi Bora hapa JF lazima nilete analysis ya mechi before Ili kumsaidia kocha kufanya right decision at right time. Japo nimemsikiliza leo naona Robertinho anaongea huku anatetemeka.

Uchambuzi wangu

Kutokana na uzito wa mechi, uwepo wa vigogo wa soka Duniani (kitu ambacho kina Saido, Chama + Kolo wote hawajazoea tofauti na Al Ahly au Yanga waliocheza Finali mbele ya vigogo wa soka Africa kule Algeria dhidi ya USM Alger). Hali hii itawafanya wachezaji wa Simba ku panic hivyo kilose confo na kuamua kujilinda zaidi kuliko kushambulia. [emoji735] Kosa hili watapigwa goli 3 za fasta. [emoji23]

Low quality players

Wafungaji wa Simba ni wazuri kwa timu zenye low profile kina horoya, Coastal, hapo utashuhudia Saidoo, Baleke anapiga goali 10+ pekee lakini wakikutana na timu kama Al Ahly wanapoteana hivyo kusababisha Al Ahly kuutawala mpira langoni kwa kolo, hapa Simba atakula 3 pia.

NB: Kwa mechi ya kesho hawa wa kina Baleke, Phil na Chama usije shangaa wakiugeuka kuwa Ngushi (chance 7 no goal) [emoji23][emoji23]baada ya kupoteana.

Mwisho, Simba 0-6 Al Ahly.

View attachment 2786432
Timu yangu simba, ila niseme tu mjitahidi yasivuke magoli matano. Ila kipigo nakipokea. Hakuna namna.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kama ilivyo kawaida kwa mechi kubwa inavyokuja mimi kama Mchambuzi Bora hapa JF lazima nilete analysis ya mechi before Ili kumsaidia kocha kufanya right decision at right time. Japo nimemsikiliza leo naona Robertinho anaongea huku anatetemeka.

Uchambuzi wangu

Kutokana na uzito wa mechi, uwepo wa vigogo wa soka Duniani (kitu ambacho kina Saido, Chama + Kolo wote hawajazoea tofauti na Al Ahly au Yanga waliocheza Finali mbele ya vigogo wa soka Africa kule Algeria dhidi ya USM Alger). Hali hii itawafanya wachezaji wa Simba ku panic hivyo kilose confo na kuamua kujilinda zaidi kuliko kushambulia. [emoji735] Kosa hili watapigwa goli 3 za fasta. [emoji23]

Low quality players

Wafungaji wa Simba ni wazuri kwa timu zenye low profile kina horoya, Coastal, hapo utashuhudia Saidoo, Baleke anapiga goali 10+ pekee lakini wakikutana na timu kama Al Ahly wanapoteana hivyo kusababisha Al Ahly kuutawala mpira langoni kwa kolo, hapa Simba atakula 3 pia.

NB: Kwa mechi ya kesho hawa wa kina Baleke, Phil na Chama usije shangaa wakiugeuka kuwa Ngushi (chance 7 no goal) [emoji23][emoji23]baada ya kupoteana.

Mwisho, Simba 0-6 Al Ahly.

View attachment 2786432
Hivi huko YANGA hakuna hata mtu mmoja mwenye akili?
 
Back
Top Bottom