monta
JF-Expert Member
- May 6, 2014
- 1,271
- 1,803
#NgaoYaJamii
FT: Simba 0-1 Yanga
Mayele 11'[emoji460]
-Nimekitizama kikosi cha Yanga Wanamabadiliko makubwa sana kulinganisha na Mchezo wao wa mwisho walio ucheza dhidi ya Simba wamefanya usajili mzuri sana naamini wakicheza Kwa pamoja kwa muda mrefu watakua tishio
-Simba wanaonekana kuna Quality flani imepungua katikati ya uwanja mahali alikokuwa akicheza mwamba wa Lusaka (Chama) sasa anacheza Lary Bwalya ,Bwalya muda mungi anaonekana hayuko kwenye eneo sahihi la Namba 10! Muda mwingi anashuka sana chini na kumwacha Mugalu pasina na usaidizi nyuma yake
-Konate kacheza vizuri mno kwenye Jukumu la Box to Box Midifilder ila Naamini Bwalya ni mzuri zaidi katika position ile
-Mugalu a Complete striker japo kapata nafasi nyingi zakufunga ila hakufunga Kacheza vizuri mno alikua msumbufu kwenye backLine ya Yanga ila hakuwa na usaidizi hasa kipindi cha kwanza,hana bahati na nyavu
-Nimependa Goli ya Yanga Movement + Passing vyote kwa pamoja Muloko +Farid + Mayale [emoji91][emoji91]
- Khalid Aucho vs Yannick .Bangala wamenivutia sana leo usajili mzuri Vita yao na Thadeo Lwanga +Konate imenivutia japo kulikuwa na matumizi makubwa ya nguvu baina ya viungo hao jambo lililo pelekea wote kupata kadi za njano na Lwanga Redcard
NB:
-Huyu Dikson Job ni bongemoja la Center Back jinsi anavyo Paform kwenye mechi kubwa kama vile alikuwepo Yanga miaka 6 nyuma,...Ningumu sana Mchezaji hasa wa umri wake kuonyesha kiwango bora Kila mechi anayo cheza tena dhidi ya timu kubwa Credity kwake [emoji91]
-Dijgui Diarra kuonyesha uwezo mkubwa sana hasa kuanzisha mashambulizi,anajua nini anafanya(aliwahi kuwa kiungo kabla ya kuwa goalkeeper)
-Kennedy Juma kafanya kazi yake vema sana eneo la ulinzi
-Peter Banda ni Nchimbi mfupi
MWISHO wa Uchambuzi Kwenu Studio [emoji847]
FT: Simba 0-1 Yanga
Mayele 11'[emoji460]
-Nimekitizama kikosi cha Yanga Wanamabadiliko makubwa sana kulinganisha na Mchezo wao wa mwisho walio ucheza dhidi ya Simba wamefanya usajili mzuri sana naamini wakicheza Kwa pamoja kwa muda mrefu watakua tishio
-Simba wanaonekana kuna Quality flani imepungua katikati ya uwanja mahali alikokuwa akicheza mwamba wa Lusaka (Chama) sasa anacheza Lary Bwalya ,Bwalya muda mungi anaonekana hayuko kwenye eneo sahihi la Namba 10! Muda mwingi anashuka sana chini na kumwacha Mugalu pasina na usaidizi nyuma yake
-Konate kacheza vizuri mno kwenye Jukumu la Box to Box Midifilder ila Naamini Bwalya ni mzuri zaidi katika position ile
-Mugalu a Complete striker japo kapata nafasi nyingi zakufunga ila hakufunga Kacheza vizuri mno alikua msumbufu kwenye backLine ya Yanga ila hakuwa na usaidizi hasa kipindi cha kwanza,hana bahati na nyavu
-Nimependa Goli ya Yanga Movement + Passing vyote kwa pamoja Muloko +Farid + Mayale [emoji91][emoji91]
- Khalid Aucho vs Yannick .Bangala wamenivutia sana leo usajili mzuri Vita yao na Thadeo Lwanga +Konate imenivutia japo kulikuwa na matumizi makubwa ya nguvu baina ya viungo hao jambo lililo pelekea wote kupata kadi za njano na Lwanga Redcard
NB:
-Huyu Dikson Job ni bongemoja la Center Back jinsi anavyo Paform kwenye mechi kubwa kama vile alikuwepo Yanga miaka 6 nyuma,...Ningumu sana Mchezaji hasa wa umri wake kuonyesha kiwango bora Kila mechi anayo cheza tena dhidi ya timu kubwa Credity kwake [emoji91]
-Dijgui Diarra kuonyesha uwezo mkubwa sana hasa kuanzisha mashambulizi,anajua nini anafanya(aliwahi kuwa kiungo kabla ya kuwa goalkeeper)
-Kennedy Juma kafanya kazi yake vema sana eneo la ulinzi
-Peter Banda ni Nchimbi mfupi
MWISHO wa Uchambuzi Kwenu Studio [emoji847]