Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Habari wana JF,
Kwa soka amapiano lilioonekena Jana Kwa macho ya kiuchambuzi nimeona Yanga akiwa bingwa msimu huu utakaoanza mwezi wa 8, hii timu inatisha.
Yanga wana posess, Mkude anapiga basi za kuhama bara Moja na lingine, Maxi mbape ..
Facts za Yanga kuwa bingwa
although Simba wana kikosi kikali (kizito) kuliko misimu yote ila sioni kubeba ubingwa sababu Simba atapoteza mechi tatu za mikoani.
Mechi za mikoani Simba atakazopoteza
Singida big [emoji93].
Prison.
Azam.
Na droo Kwa Yanga lakini Yanga watashinda mechi 27 kupoteza 1 na draw 2.
NB: No mayele..........no problem.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwa soka amapiano lilioonekena Jana Kwa macho ya kiuchambuzi nimeona Yanga akiwa bingwa msimu huu utakaoanza mwezi wa 8, hii timu inatisha.
Yanga wana posess, Mkude anapiga basi za kuhama bara Moja na lingine, Maxi mbape ..
Facts za Yanga kuwa bingwa
although Simba wana kikosi kikali (kizito) kuliko misimu yote ila sioni kubeba ubingwa sababu Simba atapoteza mechi tatu za mikoani.
Mechi za mikoani Simba atakazopoteza
Singida big [emoji93].
Prison.
Azam.
Na droo Kwa Yanga lakini Yanga watashinda mechi 27 kupoteza 1 na draw 2.
NB: No mayele..........no problem.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app