Ngoja tuwe wavumilivu tuone wenzetu piaHabari wanajf
Kwa soka amapiano lilioonekena Jana Kwa macho ya kiuchambuzi nimeona Yanga akiwa bingwa msimu huu utakaoanza mwezi wa 8 ....hii timu inatisha
Yanga Wana posess, mkude anapiga basi za kuhama bara Moja na lingine ......maxi mbape ..
Facts za Yanga kuwa bingwa
Although Simba Wana kikosi kikali ( kizito ) kuliko misimu yote .....ila sioni kubeba ubingwa ........sababu Simba atapoteza mechi tatu za mikoani
Mechi za mikoani Simba atakazopoteza
Singida big [emoji93]
Prison
Azam
Na droo Kwa Yanga ........lkn Yanga watashinda mechi 27 ....kupoteza 1 na draw 2
NB: No mayele..........no problem View attachment 2696869
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
No Mayele.........no problem.Habari wanajf
Kwa soka amapiano lilioonekena Jana Kwa macho ya kiuchambuzi nimeona Yanga akiwa bingwa msimu huu utakaoanza mwezi wa 8 ....hii timu inatisha
Yanga Wana posess, mkude anapiga basi za kuhama bara Moja na lingine ......maxi mbape ..
Facts za Yanga kuwa bingwa
Although Simba Wana kikosi kikali ( kizito ) kuliko misimu yote .....ila sioni kubeba ubingwa ........sababu Simba atapoteza mechi tatu za mikoani
Mechi za mikoani Simba atakazopoteza
Singida big [emoji93]
Prison
Azam
Na droo Kwa Yanga ........lkn Yanga watashinda mechi 27 ....kupoteza 1 na draw 2
NB: No mayele..........no problem View attachment 2696869
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huu ni uchambuzi mzeeHIZI TIMU ZINAWAFANYA MUONEKANE MATAHIRA .
Makolo Wana kikosi kizito ....lkn mechi za mikoani lazima wazidondoshe
Yaaah mkuu watakuja wengineNo Mayele.........no problem.
Good. [emoji3581]
Kabisa MkuuMsimu uliopita wa 2022/2023, nilikuja na utabiri wa aina hii hii kwa kuleta uzi humu jukwaani. Na mwishoni mwa msimu Wananchi wakafanya kweli.
I wish na msimu huu pia watachukua ubingwa kwa mara 3 mfululizo.
Kila la heri kwao.
Mechi za mikoani atapigwaMm ni YANGA damu ila simba atabeba makombe yote