Uchambuzi: Yanga ilishuka viwango kimakusudi

Uchambuzi: Yanga ilishuka viwango kimakusudi

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Baada ya Yanga kuwasha moto sana Kwa vichapo vya 5G Kwa timu nyingi especially makolo, ....... kelele nyingi kutoka Kwa wadau wa soka kuhusu udhamini wa GSM Kwa timu nyingi zikaibuka ......mara Yanga Wana nunua mechi ..,...mara cjui Nini makolo walichanganyikiwa

Ndipo Yanga wakaibuka na Military defensive strategy (MSD).....jifanye unapoteza Ili kuwapa moyo wapinzani wako ( kuwapoteza maboya)......Sasa mbinu imefanya kazi .....nchi imetulia, makolo wanacheka ...it's seems usajili umefanya kazi ....Hadi kina mukwala wanafunga

A few moments to come
Yanga now wamerudi mchezoni 5G zitaanza kusoma Tena ....makolo wataanza kulia na udhamini wa GSM, [emoji91][emoji91] ukoloni wanaenda poteana

NB: Yanga bado ana nafasi ya kubeba ubingwa 99.01%....other factors remain constant

1734286893937.jpg
 
Baada ya Yanga kuwasha moto sana Kwa vichapo vya 5G Kwa timu nyingi especially makolo, ....... kelele nyingi kutoka Kwa wadau wa soka kuhusu udhamini wa GSM Kwa timu nyingi zikaibuka ......mara Yanga Wana nunua mechi ..,...mara cjui Nini makolo walichanganyikiwa

Ndipo Yanga wakaibuka na Military defensive strategy (MSD).....jifanye unapoteza Ili kuwapa moyo wapinzani wako ( kuwapoteza maboya)......Sasa mbinu imefanya kazi .....nchi imetulia, makolo wanacheka ...it's seems usajili umefanya kazi ....Hadi kina mukwala wanafunga

A few moments to come
Yanga now wamerudi mchezoni 5G zitaanza kusoma Tena ....makolo wataanza kulia na udhamini wa GSM, [emoji91][emoji91] ukoloni wanaenda poteana

NB: Yanga bado ana nafasi ya kubeba ubingwa 99.01%....other factors remain constant

View attachment 3183165
Siyo kweli, (it is your mindset)
 
Siyo kweli, (it is your mindset)
Kuna muda Makolo walianza kulia Kwamba wanampango wa kuhama ligi ....Baada ya Yanga kudominate soka la TZ ......so hii iliwashtua Yanga na kuwafanya kuja na hii mbinu ( military defensive strategy)

Now u can see ...makolo yana enjoy Ile mipango ya kuhama igi imeisha
 
Baada ya Yanga kuwasha moto sana Kwa vichapo vya 5G Kwa timu nyingi especially makolo, ....... kelele nyingi kutoka Kwa wadau wa soka kuhusu udhamini wa GSM Kwa timu nyingi zikaibuka ......mara Yanga Wana nunua mechi ..,...mara cjui Nini makolo walichanganyikiwa

Ndipo Yanga wakaibuka na Military defensive strategy (MSD).....jifanye unapoteza Ili kuwapa moyo wapinzani wako ( kuwapoteza maboya)......Sasa mbinu imefanya kazi .....nchi imetulia, makolo wanacheka ...it's seems usajili umefanya kazi ....Hadi kina mukwala wanafunga

A few moments to come
Yanga now wamerudi mchezoni 5G zitaanza kusoma Tena ....makolo wataanza kulia na udhamini wa GSM, [emoji91][emoji91] ukoloni wanaenda poteana

NB: Yanga bado ana nafasi ya kubeba ubingwa 99.01%....other factors remain constant

View attachment 3183165
Yanga class yao Iko pale pale wanaweza kupungua fomu yao kutokana na sababu mbalimbali lakini sio kuondoa class yao,,timu ya namna iyo uwa aichelewi kurudi kwenye ubora wake ndicho kilichotokea pale yanga kuyumba kwao akukuondoa ubora walionao kwa mchezaji mmojammoja,,ivyo kubeba ubingwa kwa mara nyingine Wala siwezi kushangaa kwakuwa timu ya kufanya ivyo bado wanayo!
 
Yanga class yao Iko pale pale wanaweza kupungua fomu yao kutokana na sababu mbalimbali lakini sio kuondoa class yao,,timu ya namna iyo uwa aichelewi kurudi kwenye ubora wake ndicho kilichotokea pale yanga kuyumba kwao akukuondoa ubora walionao kwa mchezaji mmojammoja,,ivyo kubeba ubingwa kwa mara nyingine Wala siwezi kushangaa kwakuwa timu ya kufanya ivyo bado wanayo!
Exactly
 
Sisi kama wana Lunyasi tutaanza kubeba Kombe next season, saizi bado tunajenga timu. ASANTE.
 
Back
Top Bottom