Uchambuzi: Yanga ilishuka viwango kimakusudi

Makolo mapuuzi sana wamwambie mohamed nae azamini timu nyingine kuna kipindi timu kama maji maji zilikuwa zinasafiri ndani ya coster wameweka ndoo ya maji ya kunywa halafu wakifika huko wanakoenda wanajipikia wenyewe halafu leo hii mtu anazamini timu inatokea mijitu inaleta maneno ya hovyo tatizo mashabiki wengi wa makolo wameanza kufuatilia mpira kipindi kile manara msemaji wa makolo
 
Hivi ukiwa kaongokaongo unalipwa shilingi ngapi kwa kutwa?
 
Koloz zna roho mbaya mkuu
 
Kama wanabisha waje kukupinga hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…