Uchambuzi: Yanga Ina ubora mkubwa kuliko Taifa Stars

Je Tanzania tuna namba tisa halisia kama hatuna Nini kifanyike zama boko aliweza lkn kwasasa kawa Simba mzee
 
Inabidi kufahamu Yanga haishiriki kwenye michuano anayoshiriki Taifa stars. Huwezi kuwapima.
 
Mbona utopolo mnatofautiana majibu, yaani mlishadanganywa kwamba Avic ni mali ya utopolo?
Pale Avic hata wewe kama una hela yako neda kanunue nyumba yako; bei zao ni nzuri sana. Kama GSM aliwanunulia Yanga zile au alizinunua binafsi ila akawaruhusu Yanga watumie bure kama mfadhili wao, hilo siyo tatizo kabisa
 
Huwa una kaukichaa fulani hivi.Nenda kwa tabibu na muombe akuandikie dawa inaitwa modicate injection.Akikuuliza kwa nini unajichagulia dawa?Mwambie wewe ni chizi-fresh.
 
Pale Avic hata wewe kama una hela yako neda kanunue nyumba yako; bei zao ni nzuri sana. Kama GSM aliwanunulia Yanga zile au alizinunua binafsi ila akawaruhusu Yanga watumie bure kama mfadhili wao, hilo siyo tatizo kabisa
Makolo wapate wap pesa?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…