Inahusiana Nini na topicHuwa una kaukichaa fulani hivi.Nenda kwa tabibu na muombe akuandikie dawa inaitwa modicate injection.Akikuuliza kwa nini unajichagulia dawa?Mwambie wewe ni chizi-fresh.
Una mawazo ambayo hayaeleweki.Una changamoto.
Taifa Lina hasara kuwa na vijana kama wewUna mawazo ambayo hayaeleweki.Una changamoto.
hebu weka hicho kikosi bila wageni tukione
Huwa unaanzisha nyuzi za kijinga sana.Hivi huwa unavuta goso/tumbaku mbichi?
Atabisha.Kitunguu kweli huyu kiumbe.Ukitaka kujua maana halisi ya utopolo mfuatilie mleta uzi. Yeye huwa anaanzisha mada pumba tu.
Ataanza kujiorodhesha yeye.Huyu jamaa ni punguani.hebu weka hicho kikosi bila wageni tukione
[emoji23][emoji23]Ukitaka kujua maana halisi ya utopolo mfuatilie mleta uzi. Yeye huwa anaanzisha mada pumba tu.
Sawa mkuuHuwa unaanzisha nyuzi za kijinga sana.Hivi huwa unavuta goso/tumbaku mbichi?
NB:Mimi nilipokuwa kijana wewe ulikuwa karanga.Kwa kinyamwezi tunaita ntwili.
Ni tshabalala mkuuWale mabeki si yanga ila ndio walikua wanakazana kupiga mipasi ya nyuma nyie bado Sana sema mmekuta saivi timu nyingi ligi kuu tia maj