Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
β....... ππΌπππΌ ππ ππππ πππππ
Nimetambua kuwa yanga kwa sasa ni next level kwanini?..
Baada ya weekend hii Simba na yanga kucheza michezo yao ya CAF binafsi nimetambua kuwa yanga ndio nembo ya soka la Tanzania kwasasa
Yanga imeshinda ugenini lakini watu bado wanalalamika kwanini wameshinda goli moja tu ilitakiwa washinde hata goli 5+. Hii maana yake ni kwamba kwasasa yanga ni timu tishio afrika haitegemei kushinda nyumbani tu bali popote pale yanga anakufunga
Baada ya simba kutoa sare ugenini imepokelewa kwa shangwe kubwa utadhani wameshinda hii ni sawa na maiti kapiga chafya [emoji2957]. Hapo ndipo utagundua ipi ni timu kubwa na ndogo na ndio maana wapo kwenye mashindano ya loosers
Aliyeshinda anahuzunika ila aliyekosa anashangilia (masikini akipata .......)
Nb: ukichukia bonyeza unfollow [emoji2957]
Nimetambua kuwa yanga kwa sasa ni next level kwanini?..
Baada ya weekend hii Simba na yanga kucheza michezo yao ya CAF binafsi nimetambua kuwa yanga ndio nembo ya soka la Tanzania kwasasa
Yanga imeshinda ugenini lakini watu bado wanalalamika kwanini wameshinda goli moja tu ilitakiwa washinde hata goli 5+. Hii maana yake ni kwamba kwasasa yanga ni timu tishio afrika haitegemei kushinda nyumbani tu bali popote pale yanga anakufunga
Baada ya simba kutoa sare ugenini imepokelewa kwa shangwe kubwa utadhani wameshinda hii ni sawa na maiti kapiga chafya [emoji2957]. Hapo ndipo utagundua ipi ni timu kubwa na ndogo na ndio maana wapo kwenye mashindano ya loosers
Aliyeshinda anahuzunika ila aliyekosa anashangilia (masikini akipata .......)
Nb: ukichukia bonyeza unfollow [emoji2957]