Uchambuzi: Yanga na Mamelod kukutana Super cup

Uchambuzi: Yanga na Mamelod kukutana Super cup

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
YANGA NA MAMELOD KUKUTANA SUPER CUP

[emoji3544]Kwa sasa mabingwa wa nchi Yanga na Mabingwa wa Afrika Kusini PSL yaani Mamelod Sundowns hizi ndio timu ambazo zimekuwa na uhakika wa kushinda kwa asilimia 90 katika viwanja vya ugenini na nyumbani.

[emoji3544]Yanga ambao wapo katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAFCC hawakamatiki na Mamelod Sundowns ambao wapo ligi ya Mabingwa Afrika ni moto wa kuotea mbali.

[emoji3544]Kwa aina ya matokeo ambayo wanayapata hadi sasa hizi ndio ambazo zinapewa nafasi kubwa ya kubeba haya makombe wanayoshiriki.

[emoji3544]Endapo Yanga watabeba kombe la Shirikishi Barani Afrika CAFCC na Mamelod Sundowns wakabeba Ligi ya Mabingwa Barani Afrika CAFCL basi miamba hii ya soka itakutana katika SUPER CUP.
.
[emoji3] wakikomaa wanakutana kweli hawa watu itakuwa balaaahhh [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Imepostiwa na @sportskick_
___________________________________
hqdefault.jpg
 
YANGA NA MAMELOD KUKUTANA SUPER CUP

[emoji3544]Kwa sasa mabingwa wa nchi Yanga na Mabingwa wa Afrika Kusini PSL yaani Mamelod Sundowns hizi ndio timu ambazo zimekuwa na uhakika wa kushinda kwa asilimia 90 katika viwanja vya ugenini na nyumbani.

[emoji3544]Yanga ambao wapo katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAFCC hawakamatiki na Mamelod Sundowns ambao wapo ligi ya Mabingwa Afrika ni moto wa kuotea mbali.

[emoji3544]Kwa aina ya matokeo ambayo wanayapata hadi sasa hizi ndio ambazo zinapewa nafasi kubwa ya kubeba haya makombe wanayoshiriki.

[emoji3544]Endapo Yanga watabeba kombe la Shirikishi Barani Afrika CAFCC na Mamelod Sundowns wakabeba Ligi ya Mabingwa Barani Afrika CAFCL basi miamba hii ya soka itakutana katika SUPER CUP.
.
[emoji3] wakikomaa wanakutana kweli hawa watu itakuwa balaaahhh [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Imepostiwa na @sportskick_
___________________________________
View attachment 2600263
Na iwe hivyo.
 
YANGA NA MAMELOD KUKUTANA SUPER CUP

[emoji3544]Kwa sasa mabingwa wa nchi Yanga na Mabingwa wa Afrika Kusini PSL yaani Mamelod Sundowns hizi ndio timu ambazo zimekuwa na uhakika wa kushinda kwa asilimia 90 katika viwanja vya ugenini na nyumbani.

[emoji3544]Yanga ambao wapo katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAFCC hawakamatiki na Mamelod Sundowns ambao wapo ligi ya Mabingwa Afrika ni moto wa kuotea mbali.

[emoji3544]Kwa aina ya matokeo ambayo wanayapata hadi sasa hizi ndio ambazo zinapewa nafasi kubwa ya kubeba haya makombe wanayoshiriki.

[emoji3544]Endapo Yanga watabeba kombe la Shirikishi Barani Afrika CAFCC na Mamelod Sundowns wakabeba Ligi ya Mabingwa Barani Afrika CAFCL basi miamba hii ya soka itakutana katika SUPER CUP.
.
[emoji3] wakikomaa wanakutana kweli hawa watu itakuwa balaaahhh [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Imepostiwa na @sportskick_
___________________________________
View attachment 2600263
sio rahisi kushinda kuna far rabat ndio watakuwa mabingwa
 
YANGA NA MAMELOD KUKUTANA SUPER CUP

[emoji3544]Kwa sasa mabingwa wa nchi Yanga na Mabingwa wa Afrika Kusini PSL yaani Mamelod Sundowns hizi ndio timu ambazo zimekuwa na uhakika wa kushinda kwa asilimia 90 katika viwanja vya ugenini na nyumbani.

[emoji3544]Yanga ambao wapo katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAFCC hawakamatiki na Mamelod Sundowns ambao wapo ligi ya Mabingwa Afrika ni moto wa kuotea mbali.

[emoji3544]Kwa aina ya matokeo ambayo wanayapata hadi sasa hizi ndio ambazo zinapewa nafasi kubwa ya kubeba haya makombe wanayoshiriki.

[emoji3544]Endapo Yanga watabeba kombe la Shirikishi Barani Afrika CAFCC na Mamelod Sundowns wakabeba Ligi ya Mabingwa Barani Afrika CAFCL basi miamba hii ya soka itakutana katika SUPER CUP.
.
[emoji3] wakikomaa wanakutana kweli hawa watu itakuwa balaaahhh [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Imepostiwa na @sportskick_
___________________________________
View attachment 2600263
Mkuu hiyo mechi inabidi Nabi awe Makini na Peter shalulile na mailula...
Pale mbele akikaa Musonda na fistooooooooni kazi inaisha lazima tushinde super cup
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji169][emoji172]
 
Back
Top Bottom