Uchambuzi: Yanga na Mamelod kukutana Super cup

Uchambuzi: Yanga na Mamelod kukutana Super cup

Safari bado ndefu sana, japokuwa inawezekana. Al Ahly nawapa nafasi ya kutwaa CAF CHAMPIONS LEAGUE maana katika hatua hizi huwa wanabadilika sana.
 
YANGA NA MAMELOD KUKUTANA SUPER CUP

[emoji3544]Kwa sasa mabingwa wa nchi Yanga na Mabingwa wa Afrika Kusini PSL yaani Mamelod Sundowns hizi ndio timu ambazo zimekuwa na uhakika wa kushinda kwa asilimia 90 katika viwanja vya ugenini na nyumbani.

[emoji3544]Yanga ambao wapo katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAFCC hawakamatiki na Mamelod Sundowns ambao wapo ligi ya Mabingwa Afrika ni moto wa kuotea mbali.

[emoji3544]Kwa aina ya matokeo ambayo wanayapata hadi sasa hizi ndio ambazo zinapewa nafasi kubwa ya kubeba haya makombe wanayoshiriki.

[emoji3544]Endapo Yanga watabeba kombe la Shirikishi Barani Afrika CAFCC na Mamelod Sundowns wakabeba Ligi ya Mabingwa Barani Afrika CAFCL basi miamba hii ya soka itakutana katika SUPER CUP.
.
[emoji3] wakikomaa wanakutana kweli hawa watu itakuwa balaaahhh [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Imepostiwa na @sportskick_
___________________________________
View attachment 2600263
Kwa wale wote mliowahi kusoma kitabu cha hekaya za Abunuasi,like hapa .
 
Mkuu hiyo mechi inabidi Nabi awe Makini na Peter shalulile na mailula...
Pale mbele akikaa Musonda na fistooooooooni kazi inaisha lazima tushinde super cup
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji169][emoji172]
Ila mamelods ni WA motoo
 
Safari bado ndefu sana, japokuwa inawezekana. Al Ahly nawapa nafasi ya kutwaa CAF CHAMPIONS LEAGUE maana katika hatua hizi huwa wanabadilika sana.
Awapi Mzee....Al ahly nae bado anamuogopa memolods
 
Mkuu samahani kwa usumbufu kama una video ile inayoonesha mechi yenu na rivers wakati inaanza, hivi unaweza ukawaelezea watanzania kwanini mlipiga mpira nje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu samahani kwa usumbufu kama una video ile inayoonesha mechi yenu na rivers wakati inaanza, hivi unaweza ukawaelezea watanzania kwanini mlipiga mpira nje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yanga Huwa tuna shindwa kustahimili dk za kwanza


We gain momentum m...As the time increase.,...rejea mechi ya simba


That's y tulitoa nje
 
Huu utabiri wenu unaitia gundu Yanga yetu.
Subirini tuvuke mto ndipo muanze kutukana mamba.
Tukimalizana kwa sare au kwa ushindi na Rivers United FC ndiupo tuanze kuwadharau tuliowapiga na si ambao hatujamalizana nao.
 
Back
Top Bottom