Mnyabwilo
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 720
- 255
wenye hizo 4 wataenda chuo maana kama hao wenye D D C ukiconvert unapata E E D unakuta mtu huyo ni PCM halafu wanataka minimum 2.0 kutoka kwenye guide book ya tcu 2014/2015 kwahiyo wale madogo wa D D D watakuwa wanacheka tu sasa hivi maana najua matokeo yalivyotoka walishakuwa na presha