Pre GE2025 Uchapa kazi wa Rais Samia wawakosha Vijana waliomaliza kidato cha Sita, Watafuta Kadi za CCM usiku na Mchana

Pre GE2025 Uchapa kazi wa Rais Samia wawakosha Vijana waliomaliza kidato cha Sita, Watafuta Kadi za CCM usiku na Mchana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unamaanisha siku hizi ili upate mkopo lazima uwe kada wa CCM?

Kama ni hivyo, kwa post yako umenikumbusha mwaka 2021 nilipotaka kujua taratibu za mikopo ya halmashauri, mama mmoja akaniambia kwa urahisi niende UVCCM, sema nilipofika pale sikuwa na kadi na ikafanya hata nisisikilizwe.
Mm sina uhakika ila naona watu wengi wanasema hvy, so kama na ww ilishakutokea bc ndo humo humo
 
Tangulia mirembe waambie wakupe chumba, mm ntakuja kutoa maelezo yako.
Mbaga kwa sasa nchi inachanja mbuga ukitizama mazao tuh yanavyo pendeza huko mashambani kwa ruzuku mama aliyoweka ni dhairi sasa watanzania kazi ni moja kutafuta mboga tuh kwani ugali upo wa kutosha msimu huu achilia mbali miradi mkubwa mkubwa inayo endelea kila itwayo leo
 
Asisahau kujiunga pia na TK Movement

Washatoa na kepu na t-shirt

KADI awe nayo at least inaweza mfikisha mahali
ila wasomi wa Tz bhnaa kwa uchawa hawajambo kama TK MOVEMENT ukiulizaa kazii Yao Nini hawawezii kukupa jibu tofautii na uchawaa tuu wa kusifiaa
 
ila wasomi wa Tz bhnaa kwa uchawa hawajambo kama TK MOVEMENT ukiulizaa kazii Yao Nini hawawezii kukupa jibu tofautii na uchawaa tuu wa kusifiaa
TK Movement ni janja ya CCM kuwafikia wapiga kura kuputia akina mama na vijana

Ni kama jumuia mpya ukiacha UVCCM na UWT
 
TK Movement ni janja ya CCM kuwafikia wapiga kura kuputia akina mama na vijana

Ni kama jumuia mpya ukiacha UVCCM na UWT
ila TK movement wao wanajinasibu kuwa hawana Chama,ila najiuliza anayewafadhili ni nani?? Nauli za kwenda kwenye uzinduzi dodoma kutoka kila mkoa walilipiwaa na saivii wanalipiwa nauli kwenda mlima Kilimanjaro, kiukwelii nchi yangu TZ inafurahshaa saana Kuna watu wanatengeneza maisha Yao na majina Yao kupitia wengii wajinga
 
ila TK movement wao wanajinasibu kuwa hawana Chama,ila najiuliza anayewafadhili ni nani?? Nauli za kwenda kwenye uzinduzi dodoma kutoka kila mkoa walilipiwaa na saivii wanalipiwa nauli kwenda mlima Kilimanjaro, kiukwelii nchi yangu TZ inafurahshaa saana Kuna watu wanatengeneza maisha Yao na majina Yao kupitia wengii wajinga
Vijana wengi njaa Kali

T-shirt 16000 zipo mpaka za 12000

Lazima kura zitafutwe kwa udi na uvumba

Vijana wanaaidiwa Akira,mikopo ya halmashauri na fursa za upigaji kupitia miradi ya wafadhili

Ila wanachaotakiwa ni kuwashawishi vijana Baki wasio wa CCM kuwa TK Movement ni non party organisation

Ila ni uongo

Ni wanaccm wanajaribu kupitishia ajenda zao za Siri kwa vyama vingine kupitia vijana na akina mama

Wajinga ndio waliwao
 
Lucas acha porojo, njoo tulale!
Lucas Mwashambwa unaitwa huku na pisi lililo maliza form six katika shule iliyo kwenda shule.
Ama unamuogopa sababu umesomea shule ya kata kule itaka? Hilo Ni moja.
Pili. Waliomaliza form six wanatafuta kadi za NIDA. ambabzo upatikanaji wake unakua mgumu sniku Hadi siku Kama hutoi chochote. Namba tu inachukua wiki tatu. Hii nio CCM.
Tatu.
Waliomaliza form six wanatafuta kazi abmbabzo waarabu wanazinyemelea.
Sijaona anayetafuta kadi uliyosema.

Kama Ni foleni ziko NIDA.....
 
Vijana wengi njaa Kali

T-shirt 16000 zipo mpaka za 12000

Lazima kura zitafutwe kwa udi na uvumba

Vijana wanaaidiwa Akira,mikopo ya halmashauri na fursa za upigaji kupitia miradi ya wafadhili

Ila wanachaotakiwa ni kuwashawishi vijana Baki wasio wa CCM kuwa TK Movement ni non party organisation

Ila ni uongo

Ni wanaccm wanajaribu kupitishia ajenda zao za Siri kwa vyama vingine kupitia vijana na akina mama

Wajinga ndio waliwao
ila Mimi pia ni mwana TK movement nipo kwenye group lao japo sijawahii kuwaelewaa hasa lengo lao ni Nini?? Ngoja nisubirii maokoto kipindii Cha uchaguzii
 
Back
Top Bottom