Pre GE2025 Uchapa kazi wa Rais Samia wawakosha Vijana waliomaliza kidato cha Sita, Watafuta Kadi za CCM usiku na Mchana

Pre GE2025 Uchapa kazi wa Rais Samia wawakosha Vijana waliomaliza kidato cha Sita, Watafuta Kadi za CCM usiku na Mchana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Uongozi ni kugusa maisha ya watu, ni kuleta tabasamu, furaha, na matumaini kwenye maisha ya watu. Ni kufanikisha na kuwezesha kutimizwa kwa ndoto za watu, ni kukidhi matarajio na kukata kiu ya watu, na kuwapa watu vicheko vya furaha na kuacha alama katika mioyo yao.

Uchapakazi na uongozi wa Rais Samia umeonekana kuwakosha, kuwagusa, na kukonga mioyo ya vijana wengi sana waliomaliza kidato cha sita. Hii imepelekea wengi wao kutafuta kadi za CCM usiku na mchana ili waweze kuwa wanachama wa CCM kama sehemu ya kumuunga mkono Rais Samia, ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

Vijana ambao nimekutana nao wameongea kwa hisia kali sana kutoa shukurani zao kwa Rais Samia kwa hatua yake ya kufanya maamuzi magumu ya kutoa elimu bure hadi kidato cha sita. Wengi wao, kutokana na vipato vya wazazi wao, hawakuwa na matumaini kama wangeweza kufika hapo isingekuwa elimu bure.

Wanasema kitendo cha Rais Samia kufuta ada na michango mingine kiliwafanya kuelekeza mawazo na akili zao zote katika kusoma kwa bidii na kufanya vyema katika masomo yao, pasipo kuwa na hofu ya kufukuzwa na kurudishwa nyumbani kuchukua ada na michango mingine kama ilivyokuwa zamani.

Katika hili, nami nawaunga mkono vijana hawa katika kumshukuru sana Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kufuta ada, ambayo imekuwa ni neema na nuru katikati ya giza kwa familia nyingi sana. Leo, hata mtoto wa maskini ana uhakika wa kupata elimu na kutimiza ndoto zake.

Tofauti na sisi wakati wetu, tuliteketeza mali nyingi sana kuanzia mifugo hususani ng'ombe, mashamba, na kuingia madeni kwa ajili ya kulipia ada na michango mingine iliyokuwa mingi. Hali ya kiuchumi, hususani vijijini, ilikuwa mbaya sana kuweza kumudu gharama hizo ambazo sasa zimebebwa na Jemedari wetu Daktari Mama Samia.

Katika hili, nasema Rais Samia, Mama yangu na Rais wetu mpendwa, utakumbukwa na maelfu ya vijana kwa kuwawezesha kutimiza ndoto zao bila shida. Kikubwa, nakuomba sana Mheshimiwa Rais na serikali yako kuwa zinapokuwa zimetoka ajira, hususani za ualimu, basi jitahidini sana kwa jicho la huruma kuanza kuwapa kipaumbele wale vijana waliomaliza miaka ya nyuma hasa wale wa mwaka 2015, 2016, na hata wale wa 2017. Hii ni kwa kuwa huwa inawaumiza sana vijana waliomaliza mwaka 2015 na 2016 wanapokosa ajira, halafu aliyemaliza hivi karibuni anapata ajira na kwa masomo yale yale ambayo amesomea huyu wa 2015 na 2016.

Naamini serikali yako, Mheshimiwa Rais, italizingatia jambo hili. Fikiria hata wewe, Rais wetu ambaye ni mzazi mwenye huruma kama unavyofahamika na wengi, unaweza jisikiaje mtoto wako amemaliza ualimu 2015 au 2016 na hajapata ajira mpaka leo hii, licha ya kuwa na ufaulu mzuri na kukidhi vigezo vyote na ulimsomesha kwa shida, taabu, na mateso makubwa. Halafu anakuja anapata ajira wa juzi juzi tu na kwa masomo yaleyale na ufaulu ule ule.

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza taifa letu kwa muhula wa pili.
Wanatafuta kadi za CCM usiku na mchana huku wakibubujikwa na machozi ya furaha😀😀😀
 
Serikali ya Rais Samia inatoa mikopo ya Elimu ya juu kwa wanafunzi wote wenye sifa na waliokidhi vigezo.
Nakukumbusha tu mkuu syo wote wanaweza pata mkopo aslimia % kila mtu na bahat kwaiyo wanjanja wanaweza soma alama ya nyakat ili wao wapewe kpaumbele wakwanza amna mjinga
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uongozi ni kugusa maisha ya watu, ni kuleta tabasamu, furaha, na matumaini kwenye maisha ya watu. Ni kufanikisha na kuwezesha kutimizwa kwa ndoto za watu, ni kukidhi matarajio na kukata kiu ya watu, na kuwapa watu vicheko vya furaha na kuacha alama katika mioyo yao.

Uchapakazi na uongozi wa Rais Samia umeonekana kuwakosha, kuwagusa, na kukonga mioyo ya vijana wengi sana waliomaliza kidato cha sita. Hii imepelekea wengi wao kutafuta kadi za CCM usiku na mchana ili waweze kuwa wanachama wa CCM kama sehemu ya kumuunga mkono Rais Samia, ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

Vijana ambao nimekutana nao wameongea kwa hisia kali sana kutoa shukurani zao kwa Rais Samia kwa hatua yake ya kufanya maamuzi magumu ya kutoa elimu bure hadi kidato cha sita. Wengi wao, kutokana na vipato vya wazazi wao, hawakuwa na matumaini kama wangeweza kufika hapo isingekuwa elimu bure.

Wanasema kitendo cha Rais Samia kufuta ada na michango mingine kiliwafanya kuelekeza mawazo na akili zao zote katika kusoma kwa bidii na kufanya vyema katika masomo yao, pasipo kuwa na hofu ya kufukuzwa na kurudishwa nyumbani kuchukua ada na michango mingine kama ilivyokuwa zamani.

Katika hili, nami nawaunga mkono vijana hawa katika kumshukuru sana Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kufuta ada, ambayo imekuwa ni neema na nuru katikati ya giza kwa familia nyingi sana. Leo, hata mtoto wa maskini ana uhakika wa kupata elimu na kutimiza ndoto zake.

Tofauti na sisi wakati wetu, tuliteketeza mali nyingi sana kuanzia mifugo hususani ng'ombe, mashamba, na kuingia madeni kwa ajili ya kulipia ada na michango mingine iliyokuwa mingi. Hali ya kiuchumi, hususani vijijini, ilikuwa mbaya sana kuweza kumudu gharama hizo ambazo sasa zimebebwa na Jemedari wetu Daktari Mama Samia.

Katika hili, nasema Rais Samia, Mama yangu na Rais wetu mpendwa, utakumbukwa na maelfu ya vijana kwa kuwawezesha kutimiza ndoto zao bila shida. Kikubwa, nakuomba sana Mheshimiwa Rais na serikali yako kuwa zinapokuwa zimetoka ajira, hususani za ualimu, basi jitahidini sana kwa jicho la huruma kuanza kuwapa kipaumbele wale vijana waliomaliza miaka ya nyuma hasa wale wa mwaka 2015, 2016, na hata wale wa 2017. Hii ni kwa kuwa huwa inawaumiza sana vijana waliomaliza mwaka 2015 na 2016 wanapokosa ajira, halafu aliyemaliza hivi karibuni anapata ajira na kwa masomo yale yale ambayo amesomea huyu wa 2015 na 2016.

Naamini serikali yako, Mheshimiwa Rais, italizingatia jambo hili. Fikiria hata wewe, Rais wetu ambaye ni mzazi mwenye huruma kama unavyofahamika na wengi, unaweza jisikiaje mtoto wako amemaliza ualimu 2015 au 2016 na hajapata ajira mpaka leo hii, licha ya kuwa na ufaulu mzuri na kukidhi vigezo vyote na ulimsomesha kwa shida, taabu, na mateso makubwa. Halafu anakuja anapata ajira wa juzi juzi tu na kwa masomo yaleyale na ufaulu ule ule.

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza taifa letu kwa muhula wa pili.
Kondomu ya mafisiem
 
Ngoja wamalize shule wakutane na reality
Watakuta ajira zipo tayari. Kwa sababu uchumi unakua kwa kasi na hivyo kufanya fursa za ajira kupatikana kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na ajira za moja kwa moja serikalini na pia Secta binafsi ambayo nayo inaendelea kukua na kustawi vizuri sana.
 
Ngoja wamalize shule wakutane na reality
Watakuta ajira zipo tayari. Kwa sababu uchumi unakua kwa kasi na hivyo kufanya fursa za ajira kupatikana kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na ajira za moja kwa moja serikalini na pia Secta binafsi ambayo nayo inaendelea kukua na kustawi vizuri sana.
 
Watakuta ajira zipo tayari. Kwa sababu uchumi unakua kwa kasi na hivyo kufanya fursa za ajira kupatikana kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na ajira za moja kwa moja serikalini na pia Secta binafsi ambayo nayo inaendelea kukua na kustawi vizuri sana.
Ndugu acha porojo hapa, hata mimi wakati nasoma niliaminishwa hivyo hivyo, baada ya kumaliza chuo niliujua ukweli.
Kwanza mnawaaminisha watu kuwa ajira ziko nje nje, wapumbav wakubwa nyie. Mnatesa watoto wa watu, watu wanakaa kitaa wanasota mpaka 10yrs na hajira hawapati na wamesoma? I have ndugu zangu wanasota japo kuwa kuna baadhi waliseshwa hadi masters

Humu ndani huongei na watoto wenzio
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uongozi ni kugusa maisha ya watu, ni kuleta tabasamu, furaha, na matumaini kwenye maisha ya watu. Ni kufanikisha na kuwezesha kutimizwa kwa ndoto za watu, ni kukidhi matarajio na kukata kiu ya watu, na kuwapa watu vicheko vya furaha na kuacha alama katika mioyo yao.

Uchapakazi na uongozi wa Rais Samia umeonekana kuwakosha, kuwagusa, na kukonga mioyo ya vijana wengi sana waliomaliza kidato cha sita. Hii imepelekea wengi wao kutafuta kadi za CCM usiku na mchana ili waweze kuwa wanachama wa CCM kama sehemu ya kumuunga mkono Rais Samia, ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

Vijana ambao nimekutana nao wameongea kwa hisia kali sana kutoa shukurani zao kwa Rais Samia kwa hatua yake ya kufanya maamuzi magumu ya kutoa elimu bure hadi kidato cha sita. Wengi wao, kutokana na vipato vya wazazi wao, hawakuwa na matumaini kama wangeweza kufika hapo isingekuwa elimu bure.

Wanasema kitendo cha Rais Samia kufuta ada na michango mingine kiliwafanya kuelekeza mawazo na akili zao zote katika kusoma kwa bidii na kufanya vyema katika masomo yao, pasipo kuwa na hofu ya kufukuzwa na kurudishwa nyumbani kuchukua ada na michango mingine kama ilivyokuwa zamani.

Katika hili, nami nawaunga mkono vijana hawa katika kumshukuru sana Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kufuta ada, ambayo imekuwa ni neema na nuru katikati ya giza kwa familia nyingi sana. Leo, hata mtoto wa maskini ana uhakika wa kupata elimu na kutimiza ndoto zake.

Tofauti na sisi wakati wetu, tuliteketeza mali nyingi sana kuanzia mifugo hususani ng'ombe, mashamba, na kuingia madeni kwa ajili ya kulipia ada na michango mingine iliyokuwa mingi. Hali ya kiuchumi, hususani vijijini, ilikuwa mbaya sana kuweza kumudu gharama hizo ambazo sasa zimebebwa na Jemedari wetu Daktari Mama Samia.

Katika hili, nasema Rais Samia, Mama yangu na Rais wetu mpendwa, utakumbukwa na maelfu ya vijana kwa kuwawezesha kutimiza ndoto zao bila shida. Kikubwa, nakuomba sana Mheshimiwa Rais na serikali yako kuwa zinapokuwa zimetoka ajira, hususani za ualimu, basi jitahidini sana kwa jicho la huruma kuanza kuwapa kipaumbele wale vijana waliomaliza miaka ya nyuma hasa wale wa mwaka 2015, 2016, na hata wale wa 2017. Hii ni kwa kuwa huwa inawaumiza sana vijana waliomaliza mwaka 2015 na 2016 wanapokosa ajira, halafu aliyemaliza hivi karibuni anapata ajira na kwa masomo yale yale ambayo amesomea huyu wa 2015 na 2016.

Naamini serikali yako, Mheshimiwa Rais, italizingatia jambo hili. Fikiria hata wewe, Rais wetu ambaye ni mzazi mwenye huruma kama unavyofahamika na wengi, unaweza jisikiaje mtoto wako amemaliza ualimu 2015 au 2016 na hajapata ajira mpaka leo hii, licha ya kuwa na ufaulu mzuri na kukidhi vigezo vyote na ulimsomesha kwa shida, taabu, na mateso makubwa. Halafu anakuja anapata ajira wa juzi juzi tu na kwa masomo yaleyale na ufaulu ule ule.

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza taifa letu kwa muhula wa pili.
Siku hizi huweki namba naona ushapata kitengo.
 
Ndugu acha porojo hapa, hata mimi wakati nasoma niliaminishwa hivyo hivyo, baada ya kumaliza chuo niliujua ukweli.
Kwanza mnawaaminisha watu kuwa ajira ziko nje nje, wapumbav wakubwa nyie. Mnatesa watoto wa watu, watu wanakaa kitaa wanasota mpaka 10yrs na hajira hawapati na wamesoma? I have ndugu zangu wanasota japo kuwa kuna baadhi waliseshwa hadi masters

Humu ndani huongei na watoto wenzio
Vijana wanachukua kadi kwa hiyari yao na wameona kwa macho yao kazi kubwa iliyofanywa na mheshimiwa Rais katika kulipeleka mbele Taifa .wameona namna ambavyo serikali imekua ikitoa ajira kila mwaka na kutengeneza fursa mbalimbali za ajira kupitia miradi ya maendeleo
 
Vijana wanachukua kadi kwa hiyari yao na wameona kwa macho yao kazi kubwa iliyofanywa na mheshimiwa Rais katika kulipeleka mbele Taifa .wameona namna ambavyo serikali imekua ikitoa ajira kila mwaka na kutengeneza fursa mbalimbali za ajira kupitia miradi ya maendeleo
Blah blah blah get a hike big mouth
 
Lucas, kazi unayo. Hii ndio namna ya kujiajiri na kutumikia ajira yako kwa 150%. Big up!
 
Back
Top Bottom