Uchawa 13 Pro Max (Diva amuita Diamond Mungu wa Pili)

Uchawa 13 Pro Max (Diva amuita Diamond Mungu wa Pili)

Philipo D. Ruzige

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2015
Posts
9,428
Reaction score
27,096
Uchawa huu aisee. Alianza Baba Levo akadai angekua mwanamke angemzalia Plutnumz mitoto mitatu.

Sasa imehamia kwa Diva, katika moja ya post zake leo amedai Diamond ni Mungu wake wa pili.

"Mungu" sio "mungu"

Kila la kheri kwake.

Screenshot_20220314-214310~2.jpg
 
Anatafuta upenyo licha ya zamani kumuattack sana
 
Uchawa huu aisee. Alianza Baba Levo akadai angekua mwanamke angemzalia Plutnumz mitoto mitatu.

Sasa imehamia kwa Diva, katika moja ya post zake leo amedai Diamond ni Mungu wake wa pili.

"Mungu" sio "mungu"

Kila la kheri kwake.
View attachment 2150570
Raila Odinga anaitwa BABA.

Mbowe anaitwa BABA.

Magufuli alikuwa anaitwa Mheshimiwa mungu😀

Hivi Ni hali ya Maisha imekuwa Ngumu au ndio watu wameamua KUABUDU watu Fulani.

Au Ni Radicalism?

It's kinda a insanely behavior of the modern day.

Njaa Ni kitu kingine aisee.

Screenshot_2022-03-12-21-49-32-868_com.twitter.android.png
 
Hiyo mungu wa pili walau angemuandikia yule kijana aliemtoa kimasomaso..ingawa ilikua ya kimyakimya.
 
Raila Odinga anaitwa BABA.

Mbowe anaitwa BABA.

Magufuli alikuwa anaitwa Mheshimiwa mungu😀

Hivi Ni hali ya Maisha imekuwa Ngumu au ndio watu wameamua KUABUDU watu Fulani.

Au Ni Radicalism?

It's kinda a insanely behavior of the modern day.

Njaa Ni kitu kingine aisee.

View attachment 2150593
Na samia unamuita nani?
 
Bongo tunaongoza kwa watu wasio na akili yaani uchawa na kujikomba kila mahala, leo pia Harmonize kafanya ujinga wa kiwango cha ujinga wake kamsujudia binadamu mwenzake tena mtoto wa kiume kumsujudia mwanamke hii sasa imezidi
Screenshot_20220314_220140.jpg
Screenshot_20220314_220140.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Raila Odinga anaitwa BABA.

Mbowe anaitwa BABA.

Magufuli alikuwa anaitwa Mheshimiwa mungu[emoji3]

Hivi Ni hali ya Maisha imekuwa Ngumu au ndio watu wameamua KUABUDU watu Fulani.

Au Ni Radicalism?

It's kinda a insanely behavior of the modern day.

Njaa Ni kitu kingine aisee.

View attachment 2150593
Tatizo LIKO WAPI kumuita MTU baba?au mama au Bibi...?tatizo linakuja pale unapomuita binadam mwenzako Mungu!!!
 
Back
Top Bottom