Uchawa 13 Pro Max (Diva amuita Diamond Mungu wa Pili)

Uchawa 13 Pro Max (Diva amuita Diamond Mungu wa Pili)

Bongo tunaongoza kwa watu wasio na akili yaani uchawa na kujikomba kila mahala, leo pia Harmonize kafanya ujinga wa kiwango cha ujinga wake kamsujudia binadamu mwenzake tena mtoto wa kiume kumsujudia mwanamke hii sasa imezidiView attachment 2150620View attachment 2150620
Your stronger woman

Mmmmh Harmonize awe anaandika kiswahili ili atusaidie na sie tuelewe tusiojua lugha ya malkia.
 
Bongo tunaongoza kwa watu wasio na akili yaani uchawa na kujikomba kila mahala, leo pia Harmonize kafanya ujinga wa kiwango cha ujinga wake kamsujudia binadamu mwenzake tena mtoto wa kiume kumsujudia mwanamke hii sasa imezidiView attachment 2150620View attachment 2150620
Jamani si angeandika tu kiswahili kuliko kuharibu lugha za watu, mbona Kiswahili ni lugha nzuri tu.
 
Tatizo LIKO WAPI kumuita MTU baba?au mama au Bibi...?tatizo linakuja pale unapomuita binadam mwenzako Mungu!!!
Hata hao wanaoita watu wao Mungu waulize watakwambia kwani tatizo liko wapi?

Hiyo ndio NGUVU kubwa sana ya Radicalism.
 
Uchawa ndo maisha ya binadamu tangu kuumbwa kwa hii Dunia.Cheki nchi za kifalme uone wanavyoabudiwa ,nenda Rusia hao akina Abromovic wamekua mabilionea kutokana na uchawa ,huyo Roman alikua chawa wa Rais wa Urusi kabla ya huyu Putin na Putin alivoingia madarakani Bado kaendeleza uchawa .In short ukiwa huna kitu kubali kuwa chawa ili mladi uyafikie malengo yako,ukisikia mtu anasema Mimi masikini jeuri jua huyo mtu Hana akili.Nu kila sehemu uko hivo hata ukitaka kwenda MBINGUNI lazima uwe chawa wa Mungu kwa Sababu Kila muda inabidi uwe unafanya Sala na Dua uwe karibu na Muumba wako ili siku ya mwisho uende kwake SI unaona sheteni alikataa uchawa mwisho wa siku akawa muasi kwa Sababu alitaka ashindane na mkubwa wake? Dunia bila uchawa haiwezekani .
 
Nassib Abdul ndiye msanii anayeongoza kufunguliwa nyuzi hapa JF, iwe na kwa uzuri/ubaya/wivu n.k
 
Back
Top Bottom