Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Raila Odinga anaitwa BABA.Uchawa huu aisee. Alianza Baba Levo akadai angekua mwanamke angemzalia Plutnumz mitoto mitatu.
Sasa imehamia kwa Diva, katika moja ya post zake leo amedai Diamond ni Mungu wake wa pili.
"Mungu" sio "mungu"
Kila la kheri kwake.
View attachment 2150570
Pia kuna zumaridi pia usisahau [emoji1787]Raila Odinga anaitwa BABA.
Mbowe anaitwa BABA.
Magufuli alikuwa anaitwa Mheshimiwa mungu[emoji3]
Hivi Ni hali ya Maisha imekuwa Ngumu au ndio watu wameamua KUABUDU watu Fulani.
It's kinda a insanely behavior of the modern day.
Njaa Ni kitu kingine aisee.
Sema yule demu mzinguaji sana. Ila njaa ndio zinamtesa, niliona post moja anaesema Diamond atampa ndoa ya ndoto yake...Mastaa wengi wakike bongo wana stress sana
Bongo bila unafiki haiwezekani. Kipindi kile yupo clouds. Kweli mbwa mwenye nyama mdomoni habwekiAnatafuta upenyo licha ya zamani kumuattack sana
[emoji2][emoji2][emoji2]sasa ndio kusema Dimondi kabatizwa uzumaridiPia kuna zumaridi pia usisahau [emoji1787]
Aisee, kijana kamsitiri sana. Sasa sijui alitoa hizo 500m [emoji45][emoji45]Hiyo mungu wa pili walau angemuandikia yule kijana aliemtoa kimasomaso..ingawa ilikua ya kimyakimya.
Na samia unamuita nani?Raila Odinga anaitwa BABA.
Mbowe anaitwa BABA.
Magufuli alikuwa anaitwa Mheshimiwa mungu😀
Hivi Ni hali ya Maisha imekuwa Ngumu au ndio watu wameamua KUABUDU watu Fulani.
Au Ni Radicalism?
It's kinda a insanely behavior of the modern day.
Njaa Ni kitu kingine aisee.
View attachment 2150593
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaNa samia unamuita nani?
Kafanya issue gani tena. Mana mmakonde nae sometimes miyeyushoBongo tunaongoza kwa watu wasio na akili yaani uchawa na kujikomba kila mahala, leo pia Harmonize kafanya ujinga wa kiwango cha ujinga wake kamsujudia binadamu mwenzake tena mtoto wa kiume kumsujudia mwanamke hii sasa imezidiView attachment 2150620View attachment 2150620
Sawa. Kila la kheri wewe usie na matatizo.Ww ndio unamatatizo Kwan shida iko wap
Tatizo LIKO WAPI kumuita MTU baba?au mama au Bibi...?tatizo linakuja pale unapomuita binadam mwenzako Mungu!!!Raila Odinga anaitwa BABA.
Mbowe anaitwa BABA.
Magufuli alikuwa anaitwa Mheshimiwa mungu[emoji3]
Hivi Ni hali ya Maisha imekuwa Ngumu au ndio watu wameamua KUABUDU watu Fulani.
Au Ni Radicalism?
It's kinda a insanely behavior of the modern day.
Njaa Ni kitu kingine aisee.
View attachment 2150593