Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Your stronger womanBongo tunaongoza kwa watu wasio na akili yaani uchawa na kujikomba kila mahala, leo pia Harmonize kafanya ujinga wa kiwango cha ujinga wake kamsujudia binadamu mwenzake tena mtoto wa kiume kumsujudia mwanamke hii sasa imezidiView attachment 2150620View attachment 2150620
Jamani si angeandika tu kiswahili kuliko kuharibu lugha za watu, mbona Kiswahili ni lugha nzuri tu.Bongo tunaongoza kwa watu wasio na akili yaani uchawa na kujikomba kila mahala, leo pia Harmonize kafanya ujinga wa kiwango cha ujinga wake kamsujudia binadamu mwenzake tena mtoto wa kiume kumsujudia mwanamke hii sasa imezidiView attachment 2150620View attachment 2150620
NakaziaChezea njaa wewe
Mmakonde nae hopeless sanaBongo tunaongoza kwa watu wasio na akili yaani uchawa na kujikomba kila mahala, leo pia Harmonize kafanya ujinga wa kiwango cha ujinga wake kamsujudia binadamu mwenzake tena mtoto wa kiume kumsujudia mwanamke hii sasa imezidiView attachment 2150620View attachment 2150620
Hata hao wanaoita watu wao Mungu waulize watakwambia kwani tatizo liko wapi?Tatizo LIKO WAPI kumuita MTU baba?au mama au Bibi...?tatizo linakuja pale unapomuita binadam mwenzako Mungu!!!
Wewe inakusubiri jehanamKuzimu inawasubiri kwa hamu
Kwann asiwe anaandika kiswahili tuBongo tunaongoza kwa watu wasio na akili yaani uchawa na kujikomba kila mahala, leo pia Harmonize kafanya ujinga wa kiwango cha ujinga wake kamsujudia binadamu mwenzake tena mtoto wa kiume kumsujudia mwanamke hii sasa imezidiView attachment 2150620View attachment 2150620
Huyo Diva atakuwa anatafuta Kiki tu si bureUchawa huu aisee. Alianza Baba Levo akadai angekua mwanamke angemzalia Plutnumz mitoto mitatu.
Sasa imehamia kwa Diva, katika moja ya post zake leo amedai Diamond ni Mungu wake wa pili.
"Mungu" sio "mungu"
Kila la kheri kwake.
huyo aliyembong'olewa ni nani?Bongo tunaongoza kwa watu wasio na akili yaani uchawa na kujikomba kila mahala, leo pia Harmonize kafanya ujinga wa kiwango cha ujinga wake kamsujudia binadamu mwenzake tena mtoto wa kiume kumsujudia mwanamke hii sasa imezidiView attachment 2150620View attachment 2150620
Madam Ritahuyo aliyembong'olewa ni nani?
ukute ni kiki tu