Uchawa ni janga linalotupelekea sehemu mbaya zaidi

Uchawa ni janga linalotupelekea sehemu mbaya zaidi

Aelknes

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
246
Reaction score
603
Hili jambo la uchawa binafsi nimeliona ni tatizo ambalo linazidi kutupeleka sehemu mbaya zaidi

Sasahivi makazini boss hata kama anakosea,huwezi kukuta anakosolewa watu wanamsifia hata kwenye jambo la kijinga wakijua kuna mahali watapata favour

Ama ukijiona unataka kufanya jambo unalojua utakutana na upinzani mkubwa unatumia machawa kusifia hata kama ni kitu kibaya

Wanafunzi wanatafuta kadi za vyama na kujihusisha na chama fulani akijua kitam'beba kwenye ajira

Viongozi wanatumia machawa kutetea jambo wanaloona litapata upinzani,au kueneza ajenda fulani

Viongozi wa dini wanasifia watawala wakijua kuna favour wataipata

ILI UPATE KITU UNATAKIWA UKALAMBE MIGUU YA MTU/TAASISI FULANI ILI UFANIKIWE

Ujinga unaenda kutumaliza
 
Hili jambo la uchawa binafsi nimeliona ni tatizo ambalo linazidi kutupeleka sehemu mbaya zaidi

Sasahivi makazini boss hata kama anakosea,huwezi kukuta anakosolewa watu wanamsifia hata kwenye jambo la kijinga wakijua kuna mahali watapata favour

Ama ukijiona unataka kufanya jambo unalojua utakutana na upinzani mkubwa unatumia machawa kusifia hata kama ni kitu kibaya

Wanafunzi wanatafuta kadi za vyama na kujihusisha na chama fulani akijua kitam'beba kwenye ajira

Viongozi wanatumia machawa kutetea jambo wanaloona litapata upinzani,au kueneza ajenda fulani

Viongozi wa dini wanasifia watawala wakijua kuna favour wataipata

ILI UPATE KITU UNATAKIWA UKALAMBE MIGUU YA MTU/TAASISI FULANI ILI UFANIKIWE

Ujinga unaenda kutumaliza
chawa wa mama wakasome kwa chawa wa mbowe. Chawa wa mbowe wametia fora
 
Hili jambo la uchawa binafsi nimeliona ni tatizo ambalo linazidi kutupeleka sehemu mbaya zaidi

Sasahivi makazini boss hata kama anakosea,huwezi kukuta anakosolewa watu wanamsifia hata kwenye jambo la kijinga wakijua kuna mahali watapata favour

Ama ukijiona unataka kufanya jambo unalojua utakutana na upinzani mkubwa unatumia machawa kusifia hata kama ni kitu kibaya

Wanafunzi wanatafuta kadi za vyama na kujihusisha na chama fulani akijua kitam'beba kwenye ajira

Viongozi wanatumia machawa kutetea jambo wanaloona litapata upinzani,au kueneza ajenda fulani

Viongozi wa dini wanasifia watawala wakijua kuna favour wataipata

ILI UPATE KITU UNATAKIWA UKALAMBE MIGUU YA MTU/TAASISI FULANI ILI UFANIKIWE

Ujinga unaenda kutumaliza
Uchawa ni mindset ya ujinga uliouweka kichwani kwako ndio maana ukiulizwa maana ya uchawa utakuja na mawazo Yako something that is logically fallacy
 
Kwa ujumla u-chawa ni rushwa, uoga na kujipendekeza.
Na kama ndiyo utakuwa mtindo na kuingia kwenye mifumo ya utawala, basi ni janga!
 
Hili jambo la uchawa binafsi nimeliona ni tatizo ambalo linazidi kutupeleka sehemu mbaya zaidi

Sasahivi makazini boss hata kama anakosea,huwezi kukuta anakosolewa watu wanamsifia hata kwenye jambo la kijinga wakijua kuna mahali watapata favour

Ama ukijiona unataka kufanya jambo unalojua utakutana na upinzani mkubwa unatumia machawa kusifia hata kama ni kitu kibaya

Wanafunzi wanatafuta kadi za vyama na kujihusisha na chama fulani akijua kitam'beba kwenye ajira

Viongozi wanatumia machawa kutetea jambo wanaloona litapata upinzani,au kueneza ajenda fulani

Viongozi wa dini wanasifia watawala wakijua kuna favour wataipata

ILI UPATE KITU UNATAKIWA UKALAMBE MIGUU YA MTU/TAASISI FULANI ILI UFANIKIWE

Ujinga unaenda kutumaliza

GfF9ragacAAWv7q.jpeg
 
Ni mbaya zaidi machawa hao wamapopata mafanikio kama kina baba lebo na mwinjaku
Jamii inawaona kama inflencers wakati kimsimgi tu aipeleka jamii kaburini kifikra
 
Uchawa ni mindset ya ujinga uliouweka kichwani kwako ndio maana ukiulizwa maana ya uchawa utakuja na mawazo Yako something that is logically fallacy
Chawa ni mindset kivipi

Na hawa wanaojiita ma chawa unawaongeleaje?
 
Back
Top Bottom