Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaa! Hata Botswana ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki sikusikia pongezi!Halafu sijasikia pongezi kwa Trump kutoka chama chakavu. Au walikuwa upande wa mwanamke mwenzao?
Sio janga bali Uchawa ni Tunu ya Taifa.Habarii ndugu zangu Watanzania??,
Nilikuaga nachukulia suala la UCHAWA ni la watu wachache wasiojitambuaa Leo nimengudua ndugu yangu Ninaemheshimu Sana na ana Masters kabisa na yeye ni Chawa expert,,,,,,,
UBINASFI,UBINAFSI,UBINAFSI Ee Mungu tusaidiee!!!!!
Rais wa nchi kutoka nchin zanzibar ni shabik namba moja na mlezi wa hao mbwa wanaoitwa Chawa.Habarii ndugu zangu Watanzania??,
Nilikuaga nachukulia suala la UCHAWA ni la watu wachache wasiojitambuaa Leo nimengudua ndugu yangu Ninaemheshimu Sana na ana Masters kabisa na yeye ni Chawa expert,,,,,,,
UBINASFI,UBINAFSI,UBINAFSI Ee Mungu tusaidiee!!!!!
Hivi majizi ya ccm huwa hayaoni aibu yanapotoa pongezi wakati huo wananchi wa nchi husika wamejaa road kupinga matokeoHahahaaaaa! Hata Botswana ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki sikusikia pongezi!
ILA Msumbuji kwenye uchaguzi danganyifu na wa wizi pongezi zilienda fasta!
Kwa taarifa yako hakuna watu wanaogopa maisha ya kuhastle kama hao wanaojiita wasomi, hasa wakishaajiriwa na serekali. Yaani ni majoga ya ajabu. Na uchawa asili yake ni kutaka maisha mazuri kwa kujikomba.Habarii ndugu zangu Watanzania??,
Nilikuaga nachukulia suala la UCHAWA ni la watu wachache wasiojitambuaa Leo nimengudua ndugu yangu Ninaemheshimu Sana na ana Masters kabisa na yeye ni Chawa expert,,,,,,,
UBINASFI,UBINAFSI,UBINAFSI Ee Mungu tusaidiee!!!!!
Look us muwa shamba anasemajeHabarii ndugu zangu Watanzania??,
Nilikuaga nachukulia suala la UCHAWA ni la watu wachache wasiojitambuaa Leo nimengudua ndugu yangu Ninaemheshimu Sana na ana Masters kabisa na yeye ni Chawa expert,,,,,,,
UBINASFI,UBINAFSI,UBINAFSI Ee Mungu tusaidiee!!!!!