Uchawa umekuwa janga la kitaifa Tanzania

Mpaka maprofesa wamekuwa chawa, ukiwa CCM akili zinafubazwa kabisa
 
Kwa taarifa yako hakuna watu wanaogopa maisha ya kuhastle kama hao wanaojiita wasomi, hasa wakishaajiriwa na serekali. Yaani ni majoga ya ajabu. Na uchawa asili yake ni kutaka maisha mazuri kwa kujikomba.
Kuna mstari mwembamba sana kati ya uchawa na ushoga, maana wote sifa kubwa ni kujitoa ufahamu.
 
Bado ni wachache. Wingi wao ni kelele nyingi wanazo tumia kuonyesha kuwa wapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…