kibombonya
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 326
- 564
Habari zenu wadau wa JF, siku zote nimekua najiuliza Sana hili suala la imani za ushirikina/ uchawi. Kiukweli nabaki njia panda pale ninaposikia wachawi wanauwezo wa kuingia ndani ya nyumba wakafanya wanachotaka na wakatoka bila kuonekana, hata wakitaka kusafiri wanasepa tu kiulaini kabisa. Ebu tujiulize kwanini/ iweje wanashindwa kufanya uchawi kwenye magereza wanapofungwa wanashindwa kutoka na kurudi makwao? Mwenye ufahamu na hili tudadavulie!! Naomba kuwasilisha......[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app