GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tano natabiri zitajirudiaYaani tarehe Nne ( 4 ) Mtu pia ' Kapigwa ' hizo hizo goli Nne ( 4 ) kama kasimama vile. Sasa hofu yangu tu ni pale Siku TFF nao wakiipanga mechi ya Simba SC na wasiojua Bondeni na Bwawani SC tarehe 15 kuna uwezekano mkubwa Simba SC ikashinda hizo hizo goli 15.
Tano natabiri zitajirudia
R.I.P Patrick mutesa mafisango
Mpira wa Tz ni pesa za mifukoni mwaka watu cos mpira wetu haulipi,so huwezi jisifia leo mpo vizuri wakati mmekaa miaka 5 mnalialia njaa msimbaziYaani tarehe Nne ( 4 ) Mtu pia ' Kapigwa ' hizo hizo goli Nne ( 4 ) kama kasimama vile. Sasa hofu yangu tu ni pale Siku TFF nao wakiipanga mechi ya Simba Sports Club na wasiojua Bondeni Bwawani Njaa Kali SC tarehe 15 kuna uwezekano mkubwa Simba SC ikashinda hizo hizo goli Kumi na Tano ( 15 )
Yangu macho tu na siku zote dalili ya Mvua huwa ni Mawingu!
Nawasilisha.
ukishamaliza kuweweseka katika usingizi na ukiamka kaoge maji ya baridi akili yako ikae sawaYaani tarehe Nne ( 4 ) Mtu pia ' Kapigwa ' hizo hizo goli Nne ( 4 ) kama kasimama vile. Sasa hofu yangu tu ni pale Siku TFF nao wakiipanga mechi ya Simba Sports Club na wasiojua Bondeni Bwawani Njaa Kali SC tarehe 15 kuna uwezekano mkubwa Simba SC ikashinda hizo hizo goli Kumi na Tano ( 15 )
Yangu macho tu na siku zote dalili ya Mvua huwa ni Mawingu!
Nawasilisha.
ukishamaliza kuweweseka katika usingizi na ukiamka kaoge maji ya baridi akili yako ikae sawa
Umejiuliza miaka yoooote hata 3 bora hawapo kwanini!? Umasikini jeuri ndo uliwaponzaHiyo miaka 5 unayoitaja ulisikia Simba wakitembeza bakuli kwa kusaidiwa na Azam TV kuendesha michango:?
Uliona Simba wakimpigia magoti mfadhili yeyote?Kama mlivyofanya na mnavyoendelea kupiga magoti?
Watu wazima wanashindana kupiga magoti halafu unakuwa na ujasiri wa kusimama mbele ya watu na kutoa hoja.
Kweli nimeamini nyani hana kioo.
Umehamisha magori? Yanga inachangiwa na wanachama wake sasa tatizo lipo wapi?.Afadhali umaskini kuliko utumwa. Watu wazima kumpigia magoti mtu mmoja ni udhalili wa hali ya juu.
Umehamisha magori? Yanga inachangiwa na wanachama wake sasa tatizo lipo wapi?.
sio lazima uniquote ungepita tu..alaf simba ni mtani wangu uwezi nizuia kuchangia chochote pale nionapo anamlenga yanga katika maelezo yao...we jamaa wa wapi yani unataka kunipangia mada za kuchangia jf mbona mleta mada katulia tu we unadhani hajaona?sio lazima uchangie
Tafsiri ya umaskini jeuri kwa upeo wako ni nini?Kutomtegemea mtu au kumpigia mtu magoti?Umehamisha magori? Yanga inachangiwa na wanachama wake sasa tatizo lipo wapi?.
sio lazima uniquote ungepita tu..alaf simba ni mtani wangu uwezi nizuia kuchangia chochote pale nionapo anamlenga yanga katika maelezo yao...we jamaa wa wapi yani unataka kunipangia mada za kuchangia jf mbona mleta mada katulia tu we unadhani hajaona?
umesahau mlivyokuwa mnalia Mooooo kama Ng'ombe ebooAfadhali umaskini kuliko utumwa. Watu wazima kumpigia magoti mtu mmoja ni udhalili wa hali ya juu.
You Da Best Blow Kiss GIF - YouDaBest BlowKiss Mwah - Discover & Share GIFsHata Mimi napenda mno Utani wetu wa Simba na Yanga na huu ' Uzi ' nimeuanzisha ' Makusudically ' kabisa ili wana Simba na Yanga ' tucharurane ' hapa Siku iende, tucheke na tusahau kwa muda matatizo pamoja na ' Stress ' au ' Frustrations ' zetu. Kama unajijua kabisa kuwa Wewe si ' Mwanamichezo ' na ama hupendi au huuwezi Utani tafadhali Kaa mbali kabisa na huu ' Uzi ' na tuachie tu tuliokomaa na kutukuka kwa malani / matani.
Mtani wangu ' Msamehe ' huyo Mwana Simba SC mwenzangu na naomba kuwa huru Kuchangia na hasa kutupiga ' Madongo ' yako Sisi wana Msimbazi.
Maswali meengi lkn yote ya kijinga tuTafsiri ya umaskini jeuri kwa upeo wako ni nini?Kutomtegemea mtu au kumpigia mtu magoti?
Umewaita Simba maskini jeuri ndio maana ukajibiwa afadhali umaskini kuliko utumwa wa kumpigia mtu magoti.
Anayehamisha magoli nani?