Uchawi huu mpya Simba Sports Club wameutoa wapi?


sawa bwana naona unalialia
 
Tambwe mchezaji wa kimataifa Simba alikuwa analipwa laki nane kwa mwezi..sasa wengine ?? Sasa hivi anasukuma Landcruiser maajabu..Ajibu alikuwa kimbaumbau mikiani kaja Yanga kanenepa na hapandi bajaj
 
Simba Sports Club 5 - 0 Yanga African..! Okwi 2, Sunzu 1, Mafisango 1, Kaseja 1, Kocha Milovan.
Ni rahisi Yanga kufungwa na Sumbawanga United kuliko kufungwa na Simba.
 
Reactions: Tui
Simba Sports Club 5 - 0 Yanga African..! Okwi 2, Sunzu 1, Mafisango 1, Kaseja 1, Kocha Milovan.
Mkuu upo vizuri kwenye historia.
Yanga bingwa TPL mara 27
Simba mara 19
 
Umejiuliza miaka yoooote hata 3 bora hawapo kwanini!? Umasikini jeuri ndo uliwaponza
Wacha kupiga kelele humu, hamuwezi kujiita wa kimataifa uku mnatembeza bakuli vile hata lipuli inawashinda. Nafikiri Yanga ndio timu pekee inayotembeza bakuli hadi Sumbawanga
 
Umehamisha magori? Yanga inachangiwa na wanachama wake sasa tatizo lipo wapi?.
Ninyi hamchangiwi bali ni ombaomba midomo mikavu km mmekula cement mnatia huruma
 
Malinzi alikuwa anacheza namba ngapi?
Akili za kichawi hizi ni shida aisee
Tatizo una hasira sana ndo maana ndo huelewi na huwa nakupotezea.

Halafu kwani kila aliyefanikisha ubingwa kwa klabu yoyote ile alikuwa akicheza uwanjani.?
 
Reactions: Tui
Tatizo una hasira sana ndo maana ndo huelewi na huwa nakupotezea.

Halafu kwani kila aliyefanikisha ubingwa kwa klabu yoyote ile alikuwa akicheza uwanjani.?
Achana na huyo mvimba macho. Atakupotezea muda wako tu.
 
Halafu hawa SportPesa wana ubaya na Yanga, eti wanaipangia kundi moja na Simba ili isikimbilie kutolewa mapema
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…