Uchawi huu wa kisambaa ni noma

Wewe ndie upo nje ya mada,Yesu ndie jibu maana yeye ndie mganga wa waganga na mchawi wa wachawi.
[emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Mkuu mi sina ndele ila mabinti wananisumbua sana, au nimerogezewa na mtu iyo ndele
 
Mkuu mi sina ndele ila mabinti wananisumbua sana, au nimerogezewa na mtu iyo ndele
Labda wanaona wewe ni mwenzao(joke) [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Your browser is not able to display this video.
 
Ha haaaaaaa haaaaaaaaaaa..........wasambaa bana shida tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…