Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
ni kweli huenda mnaonewa maana vitu alivyotaja mwenye uzi sio lazima viwe vimesababishwa na uchawiSisi wachawi mbona tumeonewa sana
Kila siku mnatusema
......Kila mtu amind business zake
Unafanania...Sisi wachawi mbona tumeonewa sana
Kila siku mnatusema
......Kila mtu amind business zake
Wapo watakuja kusema hakuna uchawi.
Kudadeq....mi Mzee wa kanisa wwUnafanania...
Upo??
Nipo, mambo?Upo??
Safi...naona avatar imekupendeza..Nipo, mambo?
Kweli ee?Safi...naona avatar imekupendeza..
Sana ...ni picha yako?Kweli ee?
Asante, hapana😂Sana ...ni picha yako?
Aiseee mwishowe ikawaje?Labda tumuombe Mshana Jr atupe somo, hakika hawa watu ni wabaya. Kuna jamaa alifaulu degree ya sheria nyakati hizo miaka ya 80, badala ya kuripoti kituo alichopangiwa, alijaza briefcase yake kahawa alizochuma shambani na kufanya shamba ndio kituo chake cha kazi. Wachawi, puuuuuuu!
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app