Mwenzio yupo kwenye game miaka kibao...wewe unaanza Leo hii na unatarajia utajirike fastaa?
:Mtoto anajifunza kutambaa na baadae anasimama dedee na baadae anaanza kutembea taratibutaratibu'
Hata biashara ni hatua baada ya hatua.!!
Mkuu nimefanya sana biashara apo dar kiukweli kabisa uwo ndio ukweli 75% ya wafanya biashara apo hutumia dawa kutoka kwa awo unaowaita wewe wagaga .....habar za muda huu wadau
mko powaaa??
twende kwenye mada sasa
hivi karibuni nimefanikiwa kufungua duka seem fulani chaajabu ni kwamb biashara sio nzur kwa upande wangu while majiran zangu wanauza mnoo
kuna jamaa angu mmoja ameniambia biashara sehem zenye ushindani mkubwa huwa haziendi bila kwenda kwa waganga sas cjuii ni kweli au nivip
walahi naomben ushaulii wandugu please
Mkuu nimefanya sana biashara apo dar kiukweli kabisa uwo ndio ukweli 75% ya wafanya biashara apo hutumia dawa kutoka kwa awo unaowaita wewe wagaga .....
Ila wenyewe wanawaita wawezeshaji kimsingi akili kichwani mwako uende ukachukue na wewe au laaah!
Ila hautofanya biashara eneo ilo bila ya ivo AMINI KWAMBA
Na katika bihashara anayekwambia kwamba apa, mpaka uende kwa mganga ujue ktk bihshara huyo ndio anaekukaanga ktk iyo bihasharaMkuu nimefanya sana biashara apo dar kiukweli kabisa uwo ndio ukweli 75% ya wafanya biashara apo hutumia dawa kutoka kwa awo unaowaita wewe wagaga .....
Ila wenyewe wanawaita wawezeshaji kimsingi akili kichwani mwako uende ukachukue na wewe au laaah!
Ila hautofanya biashara eneo ilo bila ya ivo AMINI KWAMBA
HahaKwa Mwandiko Huo Una Haki Usipate Wateja!
[emoji16] [emoji16] [emoji16] aisee lakinKwa Mwandiko Huo Una Haki Usipate Wateja!
Tusidanganyane wakuu Kama baadhi ya watu wanavyopinga kuwa hakuna uchawi,hata Kama hujawahi shuhudia huo uchawi elewa kwamba duniani Kuna ROHO za pande mbili zenye nguvu, YA NURUNI & GIZANI,hivyo itategemea ni wapi wewe ulioyoichagua ambapo YA GIZANI ni shortcut ya wavivu wengi wa kufikiri ambayo njia hii inakimbiliwa na wengi sana lakini Ina madhara makubwa mno wakati hii ya NURUNI Ina nguvu kubwa kuzidi ya GIZANI lakini ili uipate lazima imani yako isiwe legelege ingawa yenyewe ni nyepesi.