Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,963
- 3,685
soma mchezo jrb kuwa tofaut mf punguzo la bei,lugha,bidhaa pendwa eneo husika...HUDUMA YAKO NDIO MAFANIKIO YAKO...Kumbuka wewe n mgen so kuwa mpole taratib watakuzoea....hakikisha biashara ni kazi yako pendwa toka moyoni nikiamin utakuwa unaifanya kwa raha na kuijali(be serius)..UCHAWI KTK BIASHARA UPO ILA HAUDUM NA MAISHIO YAKE NI MABAYA...Jitahid kuangalia madhaif yao mf bidhaa wasiyo kuwa nayo wewe ndio uweke..Rizika na ukipatacho ndio mola kakupangia hivyo utazidi kubarikiwa...BIASHARA HAIPIMWI KWA KUANGALIA WENZAKO BALI KUJIANGALIA WEWE NA DUKA LAKO....MTAZAMO