Uchawi ni nini? (Roho, Nafsi, Mwili)

Kumbe aliyelaaniwa ni Nyoka na sio shetan!? Halafu inasema Kwa tumbo utaenda Kwan hapo kabla ya tumbo nyoka alikuwa anatembelea nini wakuu!?
Hizo ni Lugha za kibiblia.

Yesu Anaitwa Simba wa Yuda. Kwani ni simba mnyama ?

au anafananishwa na MwanaKondoo. unatakiwa ujue tafsiri yake kwanini katumia Kondoo, kondoo ana sifa zipi.

Jina lenye viwakilishi na jina halisi kwa mtu mmoja
 
Nimependa mada ila hujaenda deep sana au mada inaendelea....
Umeongelea uumbaji from bible watu wanaelewa bibilia sio kitabu cha mwilini ni cha rohoni? Japo tunakisoma katika mwili lakini 80% ya bibilia ni rohoni kwahiyo imewachanganya watu wengi kwasababu wanaisoma mwilini na kuitafsiri mwilini.. hata story nyingi zilizo ongelewa bibiliani hazipo mwilini kama watafiti wanavyopambana kutafuta ukweli wa story zilizowekwa bibiliani na wakikosa wanaona bibilia ni ya uongo wanaenda mbali zaidi wanasema hata Mungu hayupo kwasababu wanamtafuta mwilini..
Plz endelea na mada
 
Kama knowledge ipo tupe kidogo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…