Uchawi ni nini? (Roho, Nafsi, Mwili)

Uchawi ni nini? (Roho, Nafsi, Mwili)

Sasa hivi wakomae watoto wangu mimi nimeshazeeka🤣🤣
Kilichobaki ni Mwili kurudi mavumbini, roho kumrudia Mungu aliyeitwaa na Nafsi yako itakwenda kupokea hukumu.

Usiniambie thibitisha.

Kubali tu kama ulivyokubali kununu simu ukijua nitaweza kuwasiliana na watu walio mbali kupitia simu. bila kujua hiyo sauti itafikaje huko mbali.
 
Kilichobaki ni Mwili kurudi mavumbini, roho kumrudia Mungu aliyeitwaa na Nafsi yake itakwenda kupokea hukumu.

Usiniambie thibitisha.

Kubali tu kama ulivyokubali kununu simu ukijua nitaweza kuwasiliana na watu walio mbali kupitia simu. bila kujua hiyo sauti itafikaje huko mbali.
Hahaha hakuna cha Mungu wala hukumu, hizo ni imani tu nakujifariji kama mwanadamu mwenye tamaa ya kuishi, hakuna uthibitisho wowote zaidi ya imani, ambapo zipo imani tofauti zaidi ya 1000 ,kila mmoja Ana amini Mungu wake ndio yupo sahihi.
 
Hahaha hakuna cha Mungu wala hukumu, hizo ni imani tu nakujifariji kama mwanadamu mwenye tamaa ya kuishi, hakuna uthibitisho wowote zaidi ya imani, ambapo zipo imani tofauti zaidi ya 1000 ,kila mmoja Ana amini Mungu wake ndio yupo sahihi.
usiwaongelee wengine jiongelee wewe, unaona au ni kipofu uliyejikatia tamaa
 
usiwaongelee wengine jiongelee wewe, unaona au ni kipofu uliyejikatia tamaa
Nijiongelee kuhusu nini ? Hoja yako ya uchawi haina uthibitisho wowote zaidi ya maneno tu yakuambiwa na kusoma vitabu, sifikiri kama maisha yangu binafsi yanahusiana na mada yako🤔
 
Nijiongelee kuhusu nini ? Hoja yako ya uchawi haina uthibitisho wowote zaidi ya maneno tu yakuambiwa na kusoma vitabu, sifikiri kama maisha yangu binafsi yanahusiana na mada yako🤔
Huyo jamaa kwenye avatar yako toa, maana hujui kama Jack Sparrow ni mchawi na yeye, Sijui kakuvutia nn kumuweka na hujui uchawi ni nn
 
Huyo jamaa kwenye avatar yako toa, maana hujui kama Jack Sparrow ni mchawi na yeye, Sijui kakuvutia nn kumuweka na hujui uchawi ni nn
Mkuu una jambo lako jema na zuri sana.

Acha wafu wazike wafu wao. Tuendelee na mada usitolewe kwenye mstari.

Ikikupendeza Surya nitag ukipost hiki chakula cha roho. Wachache wayakuelewa
 
Huyo jamaa kwenye avatar yako toa, maana hujui kama Jack Sparrow ni mchawi na yeye, Sijui kakuvutia nn kumuweka na hujui uchawi ni nn
Inawezekana najua ila katika uelewa tofauti na huo wako wa kiimani zaidi😆
 
Nitajitahidi nitumie lugha ya kiswahili, waswahili wote tuelewane vizuri.. pia nitajitaidi nitumie maneno machache kufikisha ujumbe au elimu kubwa na pana kumuhusu Binadamu na uchawi au ushirikina (Shiriki)

Kwanza unatakiwa ujue wakati Mungu anamuumba mtu hapa duniani haikuwa kazi yake au uumbaji wake wa kwanza,
Huyo Mungu kabla ya kuumba ulimwengu na binadamu alikuwa wapi?

Huko alipokuwa kulitoka wapi na kuliumbwa na nani?
Tayari kuna viumbe wengine wengi walikuwepo,
Hao viumbe walikuwepo tu, wenyewe?

Kama hao viumbe walikuwepo tu wenyewe na unakubali hilo, Basi hakuna Mungu.
yani kwamba tayari kuna Malaika(roho) mmoja aina ya Kerubi alifukuzwa atoke karibu na uso wa Mungu, nae ndie tunamuita shetani na majina mengine mengi mabaya.

Kama tulivyo sisi binadamu tulivyo unaweza zaliwa kwenye familia fulani mfano ya kimasai, lakini ukaamua tu kutoka na kwenda mbali na watu wa kwenu, hiko hivo hadi kwa viumbe kama Malaika(roho) Malaika waliokataa Kumtii Mungu na kukataa kumsujudia Mtu aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu basi wakafukuzwa kwenye makao yao.
Huyo Mungu aliumbaje malaika ambao walikataa kumsujudia?

Kama hao malaika hawakuumbwa, Basi pia hakuna Mungu.

Ila kama waliumbwa, Huyo Mungu aliyewaumba, Alishindwaje kuumba malaika(roho) ambazo zinge msujudia?
Pata picha hapo, Ulimwengu ni mkubwa sana una makao mengi sanaaa, (Elon Musk ana chimbo anafukuzia na yeye)

Kwahiyo Mungu yeye kaweka utaratibu kwamba atakayekiuka maagizo ni unatupwa mbali na uso wake.

(Ati kuna raha ya Ajabu sana kuwa karibu na uso/utukufu wa Mungu)

God the Creator, Yani Mungu anamajina mengi sana aelezeki kwa kifupi.

Turudi kwa Mtu(roho)
Mungu alianza kuumba roho ya binadamu kwanza(biblical) na kumpa utawala, kutawala mbingu na nchi na vyote vilivyomo.
Huyo Mungu kabla ya kuumba chochote kile, Yeye alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi na kuliumbwa na nani?

Au kulifanyikaje?
kisha Mungu akaita umande na mvua katika nchi hapa ndipo vitu vya kuonekana kwa macho ya mwilini vilianza kuumbika.
Vilianza kutamkwa na kutokea katika ulimwengu usio onekana na mwili (ulimwengu wa roho) kila jambo linaanzia rohoni.

mvua ikadondoka miti ikachipuka, kisha sasa Ndipo mwili ukatengenezwa kuoka kwenye mavumbi ya ardhi (udongo)

Kwanza yalianza maneno(words) kisha
maji na udongo kuungana Mungu anachipua Mimea,
Tena kupitia udongo na Maji akatengeneza mwili wa mtu.
Alipo pulizia Pumzi yake mwili mtu(roho) akawa nafsi hai.

Nafsi ya mtu ni zaidi ya DNA ya mtu, kisayansi inaeleweka kuwa damu hubeba oksijeni, kwahiyo Nafsi ya mtu inamahusiano makubwa na damu ya mtu, Mwanadamu hawezi kufanya lolote na mwili wake pasipo kushirikiana na damu, bila damu mwanadamu ni maiti, ila ukikosa mguu tunakuita kilema.

maji + udongo = mimea
maji + udongo = mwili wa mtu

Nafsi.
Katika nafsi, zinakaa Akili.

Kwahiyo Adamu alipoanza kutembea katika ulimwengu wa mwili, alikuwa empty brain yani alikua hajui chochote kuhusiana na dunia lakini nafsi yake ilikuwa na uwezo mkubwa wa kusikiliza taarifa zinazotoka kwa bwana mkubwa Roho na kuzifanyia kazi akilini kisha kutenda sawa na maagizo.

Adamu hakuwa na mshauri zaidi ya Mungu, na walikuwa na mahusiano mazuri tu na Mungu, na uhakika walikuwa wanapiga story hasa adamu akiwa usingizini, nafsi inapata wasaa mzuri wa kusikia na kuona katika ulimwengu wa roho, kwani mwili unakuwa off. (Namna ya Kupokea taarifa au kuongea na viumbe visivyoonekana hii ni elimu pana nyingine) ikae kando kwanza.

Ili kuishi Miaka 60, miaka 20 niya usingizi.

So, adamu alikuwa hivi tu peke yake analala anaamka yeye ndie mtawala
View attachment 3100671
Angalia hii picha hapo utaona mtu roho ambae ni Adamu, Mungu alikuwa ameweka hatima yote ya dunia ndani yake, hizo rangi rangi nimeweka ni kuonesha karama au zawadi au Maisha ambayo Mungu alimpangia adamu awenayo na ayaishi na ayafanye.

Lakini huku mwilini, Adamu alikuwa kawaida tu hana chochote, hakuwa na mke wala watoto, lakini tayari rohoni kapewa.

Ndipo Kupewa usingizi mzito na kutengenezwa kwa mkewe, kwanza kabla ya kumpata mwanamke, Mungu alitengezeza miili ya wanyama kwa mavumbi na wale wanyama walipokuwa mbele ya uso wa adamu Aliwapa majina.

Kwahiyo Utagundua Taarifa adamu alikuwa anazipata kutoka ulimwengu wa roho... hakukuwa na vitabu, shule, kiti wala nyumba wala cha nini.

Roho:
Eva hakukutana na nyoka na kudanganywa unaweza ukafikiri ilikuwa ni huku upande wa mwilini, lakini hapana, ilikuwa ni rohoni ambapo shetani
(roho) akamdanganya mwanamke

Eva nae akasema sasa leo na mimi nakwenda kumpa Mume wangu taarifa mpya yani nimekutana na liroho huko likanipa madini mapya yani hapa mimi na mume wangu lazima tukafanane na sir. God

Kosa lile lile kama la shetani, kiburi unataka uwe juu kuliko aliyekuumba.

kwahiyo walidanganywa na roho, kama mababu zetu wanavyodanganywa na roho (mizimu) na kupewa maagizo na kutekeleza hadi leo hii.

Unatambua sasa mwanadamu akawa na maarifa ya kujua Jema na Baya ni lipi, mwanzo alikuwa anafanya tu sawa na maagizo lakini sasa anauwezo wa kujua lile ninaloambiwa kufanya ni jema au baya, Wema ni kufanya jambo kwa ajiri yako na wengine, Lakini ubaya au uwovu ni kufanya jambo ambalo linakwenda kumuumiza mwengine kwa sababu fulani fulani.

Na moja ya Utashi ambao Mungu kampa binadamu ni Kuchagua nini cha kufanya hapa duniani.

Mtu wa kwanza kuuwa alikuwa ni Kaini, akamuuwa pacha wake, wazo hilo alitoa wapi ?

Tayari kuna Vita Mungu karuhusu kati ya Shetani na Hatima ya Adamu na kizazi chake.

Kwahiyo Mtu ni roho anayo nafsi Anakaa ndani ya mwili.

Nafsi imegawanyika mala tatu
1. Akili
2. Maamuzi
3. Hisia.
..............
View attachment 3100673

Taarifa/Maagizo/Mawazo
unayotekeleza hapa duniani unayapata wapi ? kwa wachawi uliowakuta dunia au Kwa roho za mizimu ? au kwa kumuiga baba yako mzazi wa mwilini ?

Nafsi au akili zako zipo katikati zinatakiwa kufanya maamuzi, unatizama na kusikia kutokea mwilini ? au unasikia na kuona kutokea rohoni ?

Uchawi...
Nisirukie kwenye uchawi kwanza moja kwa moja maana nitawaacha watu njiani wasielewe

Nikuoneshe adhabu ya Shetani.
Kwa tafsiri yake.


Mwanzo 3:14
BWANA Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako;

[15]nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.

Shetani ni jeshi kubwa, roho zilizo hasi ni nyingi tu, na baada ya Adamu kula Tunda sasa zina kibali cha kupiga vita na binadamu (kwahiyo tupo uwanja wa vita)
~ Kalaaniwa.
~ Kwa tumbo utakwenda: haya maneno tafsiri yake ni kwamba shetani kila akitembea na kupiga hatua atakua akitembea kwa kazi moja, yani kutafuta chakula.
~ Kula mavumbi - Kumbuka kutoka katika ardhi, Mungu alifanyiza mwili wa mtu, wanyama na ndege.
~ Mtu atamponda kichwa shetani - yani tunatawala juu yake.
~ Shetani atawinda kisigino - Maana yake shetani kazi yake ni kuhakikisha hufanikishi lile ambalo Mungu alipanga ufanikishe hapa duniani. atawinda njia zako kuziharibu.

Si kuzuri hapa dunia, vita ni vita mula

Kwahiyo kama Mungu anavyoitaji kafara ya damu kama Sadaka hapa dunia ili kutawala, na Shetani au Miungu, inahitaji damu kama chakula kizuri cha Kumpatia nguvu ya kutawala dunia.

UCHAWI ni nini? Nakupa tafsiri nyepesi

is to alter someone soul in order to operate in certain condition.
Uchawi ni maombi ya kubadilisha nafsi ya mtu ili ifanye kazi katika hali fulani. kwa kutumia(vifaa) maneno, mimea/wanyama (chakula), na roho.

Katika ulimwengu wa roho kuna roho nyingi sana. wale wazee wa nightmare mna ushaidi wa kusumbuliwa.

Kwahiyo roho chafu ikimuingia mtu nafsi yake inakuwa kifungoni na kufanya mambo kwa bila idhini binafsi.

Wafungwa ni wengi,

Wachawi ni mengiiiii,

Kuna wachawi wanaojijua kuwa sisi ni wachawi na kuna wengine hata hawajijui kama niwachawi, ila wanatumika kufanya uchawi hapa duniani.

Tunaona wachawi wanakuq na mbinu nyingi, maagizo wanaoteshwa huko wengine, wengine wanafundishwa na watu mwilini kabisa.

Ukimdanganya mtoto wako au jirani yako kwa sababu za kibinfsi huo pia tunaita Uchawi, ni maneno tu bila mzizi wowote wala kizimba.

Niendelee na Uchawi?

Unaweza kufanya jambo kwa upendo na kwakupenda, kutokana na msukumo wa ndani na kuona kuwa ni wajibu wako, kumbe uchawi umetumika kukupa hiyo hurka.


Jinsi gani hatima/Kipaji/karama ambayo Mungu kamzawadia mtu inaweza kuibiwa kishirikina..?

Tunaendelea..l
If magic and witchcraft really existed, people would have weaponized and utilized them long time ago.

We would have magic missiles, Enchanted bullets and invisible Rockets.
 
Uchawi ni matendo ya mwili Kama ilivyo ulevi,,ulafi,,wivu husda na choyo.Kwa fikra zangu uchawi ni namna iliokuwa positive kwa maisha ya binadamu lakini ikageuzwa ili imdhuru.Kama mtume Paul kauweka uchawi kwenye matendo ya mwili naamini uchawi una namna ulikuwa kitu flani positive
 
Huyo Mungu kabla ya kuumba ulimwengu na binadamu alikuwa wapi?

Huko alipokuwa kulitoka wapi na kuliumbwa na nani?

Hao viumbe walikuwepo tu, wenyewe?

Kama hao viumbe walikuwepo tu wenyewe na unakubali hilo, Basi hakuna Mungu.

Huyo Mungu aliumbaje malaika ambao walikataa kumsujudia?

Kama hao malaika hawakuumbwa, Basi pia hakuna Mungu.

Ila kama waliumbwa, Huyo Mungu aliyewaumba, Alishindwaje kuumba malaika(roho) ambazo zinge msujudia?

Huyo Mungu kabla ya kuumba chochote kile, Yeye alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi na kuliumbwa na nani?

Au kulifanyikaje?

If magic and witchcraft really existed, people would have weaponized and utilized them long time ago.

We would have magic missiles, Enchanted bullets and invisible Rockets.
Mbona maswali yako sio ya Muhimu sana, Unataka umjue Mungu sana kirahisi hivo ? 😁

Twende taratibu, swali moja moja, hoja kwa hoja
 
Hao viumbe walikuwepo tu, wenyewe?

Kama hao viumbe walikuwepo tu wenyewe na unakubali hilo, Basi hakuna Mungu.
Walikuwepo nikimanisha kabla yetu binadamu Mungu alikuwa kaisha waumba.
 
Huyo Mungu aliumbaje malaika ambao walikataa kumsujudia?

Kama hao malaika hawakuumbwa, Basi pia hakuna Mungu.

Ila kama waliumbwa, Huyo Mungu aliyewaumba, Alishindwaje kuumba malaika(roho) ambazo zinge msujudia?
Sijasema walikataa kumsujudia yeye, nimesema walikataa kumsujudia au kuwa chini ya adamu.
 
Huyo Mungu kabla ya kuumba chochote kile, Yeye alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi na kuliumbwa na nani?
haya maswali hayata kusaidia kukwepa uchwawi.
God is everywhere.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Mbona maswali yako sio ya Muhimu sana, Unataka umjue Mungu sana kirahisi hivo ? 😁

Twende taratibu, swali moja moja, hoja kwa hoja
Huyo Mungu hayupo ndio maana unazunguka zunguka tu hapa.
 
Kumbe aliyelaaniwa ni Nyoka na sio shetan!? Halafu inasema Kwa tumbo utaenda Kwan hapo kabla ya tumbo nyoka alikuwa anatembelea nini wakuu!?
 
Back
Top Bottom