Uchawi niliowahi kufanya nikiwa sekondari

Hahahaaa hahaha
 
Mimi nilipigana n form2 watatu ile siku ya kwanza tu na niliwapiga kisawasawa ,ile kitu ilifanya form3 na 4 wanishabikie na kunilinda na mashambulizi ya maform 2 kipindi chote. Kitu hii iliwafanya waniogope , tukaja pam9bana kwenye mechi za welcome form 1 na interclasses nilajapiga ball ya nguvu. Mpaka namaloza vidato mm ni top
 
wew umesahau kitu huyu mshana kamroga demiss wa jf ila siyo wa dunian mana ameshindwa kujua majina matatu ya bibie Tunaita penzi la jf hahahaha mshana nakutania tu grandpa!
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji13]
 
wew umesahau kitu huyu mshana kamroga demiss wa jf ila siyo wa dunian mana ameshindwa kujua majina matatu ya bibie Tunaita penzi la jf hahahaha mshana nakutania tu grandpa!
Wewe huyo anakuloga hata kama anajua I'd yako tuu.
Mshana si mtu mzuri kuna wakati anajigeuza popobawa pia
 
Wewe huyo anakuloga hata kama anajua I'd yako tuu.
Mshana si mtu mzuri kuna wakati anajigeuza popobawa pia
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]noma Sana
Nakumbuka wakat nipo advance kuna dogo aliamka asubuhi kachanjwa chale na watu wasioonekana kuzunguka mkono ,niliogopa sana nikawaza leo kuchanjwa chale kesho tutaamka miguu ina matope kwa kulimishwa mashamba
 
[emoji23][emoji23][emoji23]noma Sana
Nakumbuka wakat nipo advance kuna dogo aliamka asubuhi kachanjwa chale na watu wasioonekana kuzunguka mkono ,niliogopa sana nikawaza leo kuchanjwa chale kesho tutaamka miguu ina matope kwa kulimishwa mashamba
Wanga wanafanya sana hizo kwenye jumuiya za wanafunzi
 


Nakumbuka kuna siku Fulani saa saba usiku nimetoka mahali Giza tororo nilipita msituni mwenyewe nilishangaa kuona jitu kubwa pembeni yangu lenye mikono 6 na macho makubwa likiyumba yumba nilikimbia mwendo wa light speed nilifika home breki ya kwanza ni kitandani huku nikiwazia juu ya lile jitu asubui niliondoka kuwai lile eneo kujua kama lile jitu lilicha alama yeyeto hata unyayo??
Laa nilikuta shina refu la mti mkavu wenye watawi sita yaliokauka

Watambua visa kama hivi hofu ni mbaya mno
 

Kiza hutengeneza maumbo
 
[emoji196] [emoji196]
Haaaaaaaaaaaahahhhahhah una kipaji kwakwel cha ulozi !lol
hahaha duuh
hahahahahahaha
hahahaaa mshana bana usiniambie vile wanavyosemaga hirizi inapumua hua wanaweka chura.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kumbe MSHANA wewe ndiye aliyeandika kile kitabu cha yule mtoto Baraka dogo alikuwa noma sana
Ahahaaa dunia ina mambo lol!
hahahahaah uwiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…