Uchawi niliowahi kufanya nikiwa sekondari

Uchawi niliowahi kufanya nikiwa sekondari

!
!
Hii tu limping a boss alidata. Tulichukua chura tukamshonea hiyo hivyo tukamweka juu ya Meza yake. Usiniulize kilitokea nini
 
!
!
Alitoka nduki yeye na sekretari akaenda kuleta waganga. Walivyoondoka tu tukaenda kuitoa kupitia dirishani tuliunganisha na uzi wa Manila. Dah waganga waongo mkuu khaaa siwataki mimi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huo mkwara kuna jamaa wa kimakonde ashamfanyia muhindi mmoja pale kisutu.Jamaa kapiga nae kazi miaka kibao mdosi baadaye kaja kumtosa jamaa,ilibidi jamaa achukua vyura wale wa kwenye mashimo wanaupele fulani alafu kamfunga chura ndani kaniki nyeusi.Siku alipoenda akamuweka mezani akamwambia iyo hirizi ikipasuka na wewe unakufa,mdosi akatetemeka sana na baadaye akaomba msamaa na kumlipa jamaa hela yake.True story!
 
Back
Top Bottom