Uchawi ulivyotamalaki milima ya Same Upareni

Ni kama Sisi Kwetu kuna Koo moshi kibosho inaitwa Kiria na wakiendelea wanajiita Moria walikuwa wafua chuma na nikoo iliyokuwa ikifharaulika sana
 
Kumbe wewe ni shemeji yangu. Jiko nimeopoa Makanya kwa mzee Z (RIP)
 
nimeipenda hii,ukipata muda tembelea pia sehemu inaitwa ndivamhundu ipo huko upareni ,ni eneo ambalo lina history ya pekee sana na huwa kuna miujiza mingi sana kwenye hilo eneo.
 
nimeipenda hii,ukipata muda tembelea pia sehemu inaitwa ndivamhundu ipo huko upareni ,ni eneo ambalo lina history ya pekee sana na huwa kuna miujiza mingi sana kwenye hilo eneo.
[emoji1545][emoji1752]
 
Tena Mwambie Kina Mshana wapo Wengi sana Lushoto
Wapare wapo sana Lukozi, Mtae mpaka Shume uko pia Kwekifinyu.. Pale Lukozi ziko koo hasa za kina Mbwambo, Mndeme, Mjema. Wambugu wengi ni Kwemakame, Magamba, Malibwi mpaka Mshangai
 
Wapare wachawi sana na wanaendekeza ushirikina na kurogana ptyuuuu!!
 
🥺🥺🥺
 
Kiasili ni mchaga, ila nimezaliwa same, nkakulia kijiji cha MAHUU, karibu kabisa na Mlima Shengena, Primary nimesoma hapo hapo same, so nnapajua vizuri, Kuhusu Uchawi kiukweli panaogopeka sana,

Nakumbuka moments nyingi sana, sisi tulikua ni wafugaji, tulikua tunaenda kuchunga Mbuzi huko milimani, matukio ambayo sitoyasahu ni kukutana na nyoka wa kila aina, Wilaya ya same inaweza ikawa top 3 katika wilaya zenye nyoka wengi kwa hapa Tanzania
 
nimeipenda hii,ukipata muda tembelea pia sehemu inaitwa ndivamhundu ipo huko upareni ,ni eneo ambalo lina history ya pekee sana na huwa kuna miujiza mingi sana kwenye hilo eneo.
Hii ipo upareni sehemu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…