Uchawi,Ulonzi na ndumba za Babu Tale,Salam na Fela umefanya muziki wa bongo kuwa ngumu sasa wananchi wamegoma kucheza Rhumba

Uchawi,Ulonzi na ndumba za Babu Tale,Salam na Fela umefanya muziki wa bongo kuwa ngumu sasa wananchi wamegoma kucheza Rhumba

Tale mbona alishasema mwenyewe kuwa unatumia ndumba pale xxl
 
Wasalaam wana jf...
Pamoja na muziki wa bongo fleva kukuwa kwa kasi kubwa sana tena sana na kuzalisha fursa kila leo lakini kwa sasa umekuwa mgumu sana tena sana.....Wasanii kutoa nyimbo nzuri za ukweli limekuwa jambo la kawaida sana tena sana....

Wasanii wengi wanatoa nyimbo nzuri sana kila leo lakini lakini wanapata wakati mgumu sana tena sana kupata attentions za watu hasa mashabiki wa muziki huu wa bongo fleva ambao asilimia 80% kwa sasa ni mashabiki wa wasanii wa WCB na hii imetokana na kutekwa na Ndumba na uchawi wa Salam ,Tale na Fela.......

Wasanii wengi pamoja na kutoa nyimbo nzuri lakini wengi wanakosa ubunifu kwenye kufanya promotion ya nyimbo zao kwani wanafikiri wakishatoa wimbo mzuri basi sisi mashabiki tutapokea tuu.....hata video nyingi hazina uwekezaji na hii inatokana na ndumba uchawi wa Tale,Salam na Fela....

Kama sio uchawi hivi inakuwaje watanzania wote hawajali kabisa kabisa kusikiliza kipya kutoka kwa wasanii wengine bali wanataka kusikia kipya kutoka WCB na kinapo toka kipya kutoka huko inakuwa ndio habari as if hakuna wasanii wengine........ni wazi sababu ni uchawi na Ndumba wa Salam,Tale na Mkubwa Fela...

Swala la Babu Tale,Salam na Fela kubeba matunguri na ndumba lina ushahidi kabisa maana haiwezekani wasanii wao peke yao ndio wakawa kila mara wanaongelewa na kufatiliwa ...hii ni wazi ni ndumba na ulonzi wao sio kawaida hii....

Watu wanashawishiwa kucheza Rhumba lakini ndio kwanza wako busy na wakina Mboso,Harmonize,Rayvany na Diamond.......hili si jambo la kawaida bali ni wazi mashabiki wamerogwa na wakina Tale...

Namimi na kubaliana na Rich mavoko kuwa hawa watu ni wachawi maana haiwezekani wasanii wao ndio waongoze kuwa na show kila leo na hii si kawaida bali ni uchawi na ndumba tuuu....

Wasalaam
Hadi umeandika kuhusu RHUMBA MEANS UMEISKIZA NA SIJAJUA UNAWAZUNGUMZIA WATU GANI MANA NGOMA IPO #2 TRENDING na soon itaanza kubamba kwenye top zote as ussually na ingekuwa kama unavyosema CHIBONGE YA KINA MARIOO ISINGESUMBUA,IOKOTE isingesumbua....unachotaka kutuaminisha umefeli kakojoe ukalale RHUMBA linachezeka vizuri tuuu kaka.
 
Wasalaam wana jf...
Pamoja na muziki wa bongo fleva kukuwa kwa kasi kubwa sana tena sana na kuzalisha fursa kila leo lakini kwa sasa umekuwa mgumu sana tena sana.....Wasanii kutoa nyimbo nzuri za ukweli limekuwa jambo la kawaida sana tena sana....

Wasanii wengi wanatoa nyimbo nzuri sana kila leo lakini lakini wanapata wakati mgumu sana tena sana kupata attentions za watu hasa mashabiki wa muziki huu wa bongo fleva ambao asilimia 80% kwa sasa ni mashabiki wa wasanii wa WCB na hii imetokana na kutekwa na Ndumba na uchawi wa Salam ,Tale na Fela.......

Wasanii wengi pamoja na kutoa nyimbo nzuri lakini wengi wanakosa ubunifu kwenye kufanya promotion ya nyimbo zao kwani wanafikiri wakishatoa wimbo mzuri basi sisi mashabiki tutapokea tuu.....hata video nyingi hazina uwekezaji na hii inatokana na ndumba uchawi wa Tale,Salam na Fela....

Kama sio uchawi hivi inakuwaje watanzania wote hawajali kabisa kabisa kusikiliza kipya kutoka kwa wasanii wengine bali wanataka kusikia kipya kutoka WCB na kinapo toka kipya kutoka huko inakuwa ndio habari as if hakuna wasanii wengine........ni wazi sababu ni uchawi na Ndumba wa Salam,Tale na Mkubwa Fela...

Swala la Babu Tale,Salam na Fela kubeba matunguri na ndumba lina ushahidi kabisa maana haiwezekani wasanii wao peke yao ndio wakawa kila mara wanaongelewa na kufatiliwa ...hii ni wazi ni ndumba na ulonzi wao sio kawaida hii....

Watu wanashawishiwa kucheza Rhumba lakini ndio kwanza wako busy na wakina Mboso,Harmonize,Rayvany na Diamond.......hili si jambo la kawaida bali ni wazi mashabiki wamerogwa na wakina Tale...

Namimi na kubaliana na Rich mavoko kuwa hawa watu ni wachawi maana haiwezekani wasanii wao ndio waongoze kuwa na show kila leo na hii si kawaida bali ni uchawi na ndumba tuuu....

Wasalaam
Na ukitaka KUAMINI WIKI HAITAISHA CHANEL ZOTE ZA WASAFI YAANI TV NA REDIO ZITAICHEZA hahahahahahaaaaaa huyoooooooooooooo kafeliiiiiiiiiiiiiii asilimia 80% kwa utafiti upi?..basi Kina Aslay wangekuwa hawajaz show zao
..bongo ngoma kali watu wanaiskiza we mwenyewe umeitafhta rhumba had umeiskiza ndo umekuja na ki UZI chako mchwara hapa.
 
Muziki umetekwa na philosophy ya WCB. Huo ndio ukweli na Kila msanii Saa hii anaimba SEX SEX NGONO NGONO NGONO !!!!..
Showbiz kwa kiasi kikubwa inaendeshwa kwa DRAMA za watu wa WCB hivyo, ukiniambia WCB inapewa attention kwa muziki mzuri pekee ni uongo mkubwa. Wapo midomoni Kila siku hivyo wakitoa ngoma inakuwa Kama muendelezo wa kupewa attention

WCB ni tawi la pongolo music ya naija inayoendeshwa kwa kuimba soft porn. Nyimbo nyingi ni monotomy na boring kwa wenye akili ila kwa wenye mahaba na u-team wataendelea kuskiiza Kila boko linalopigiwa promo.
Hahahahaa kaka NAOMBA NIISKREENSHOOT HII COMMENT.
 
Muziki umetekwa na philosophy ya WCB. Huo ndio ukweli na Kila msanii Saa hii anaimba SEX SEX NGONO NGONO NGONO !!!!..
Showbiz kwa kiasi kikubwa inaendeshwa kwa DRAMA za watu wa WCB hivyo, ukiniambia WCB inapewa attention kwa muziki mzuri pekee ni uongo mkubwa. Wapo midomoni Kila siku hivyo wakitoa ngoma inakuwa Kama muendelezo wa kupewa attention

WCB ni tawi la pongolo music ya naija inayoendeshwa kwa kuimba soft porn. Nyimbo nyingi ni monotomy na boring kwa wenye akili ila kwa wenye mahaba na u-team wataendelea kuskiiza Kila boko linalopigiwa promo.
Pale wcb harmonize huwa haimbi ujinga huo mbona anajaza kila anapokwenda na show kibao tu anazo ...huna jipya mkuu tafuta nyengine sababu ... Never give up imeka kileleni zaidi ya wiki kuna sex uliosikia ndani yake ??
 
Muziki umetekwa na philosophy ya WCB. Huo ndio ukweli na Kila msanii Saa hii anaimba SEX SEX NGONO NGONO NGONO !!!!..
Showbiz kwa kiasi kikubwa inaendeshwa kwa DRAMA za watu wa WCB hivyo, ukiniambia WCB inapewa attention kwa muziki mzuri pekee ni uongo mkubwa. Wapo midomoni Kila siku hivyo wakitoa ngoma inakuwa Kama muendelezo wa kupewa attention

WCB ni tawi la pongolo music ya naija inayoendeshwa kwa kuimba soft porn. Nyimbo nyingi ni monotomy na boring kwa wenye akili ila kwa wenye mahaba na u-team wataendelea kuskiiza Kila boko linalopigiwa promo.
Kwa hiyo mwisho wa siku hili kundi linatumia nguvu ya uchawi...? maana hakuna la maana waimbalo?
 
Pale wcb harmonize huwa haimbi ujinga huo mbona anajaza kila anapokwenda na show kibao tu anazo ...huna jipya mkuu tafuta nyengine sababu ... Never give up imeka kileleni zaidi ya wiki kuna sex uliosikia ndani yake ??
Teh Teh labda ana maanisha anatumia uchawi.
 
Niko bize na marioo-inatosha.. Ntakuja baadae kukoment maana naona unaongelea uteam tuu
 
Muziki umetekwa na philosophy ya WCB. Huo ndio ukweli na Kila msanii Saa hii anaimba SEX SEX NGONO NGONO NGONO !!!!..
Showbiz kwa kiasi kikubwa inaendeshwa kwa DRAMA za watu wa WCB hivyo, ukiniambia WCB inapewa attention kwa muziki mzuri pekee ni uongo mkubwa. Wapo midomoni Kila siku hivyo wakitoa ngoma inakuwa Kama muendelezo wa kupewa attention
WCB ni tawi la pongolo music ya naija inayoendeshwa kwa kuimba soft porn. Nyimbo nyingi ni monotomy na boring kwa wenye akili ila kwa wenye mahaba na u-team wataendelea kuskiiza Kila boko linalopigiwa promo.
Fact....watu now days wanapenda wasanii wanaoimba matusi sijui "inama nipachike rungu"
 
Muziki umetekwa na philosophy ya WCB. Huo ndio ukweli na Kila msanii Saa hii anaimba SEX SEX NGONO NGONO NGONO !!!!..
Showbiz kwa kiasi kikubwa inaendeshwa kwa DRAMA za watu wa WCB hivyo, ukiniambia WCB inapewa attention kwa muziki mzuri pekee ni uongo mkubwa. Wapo midomoni Kila siku hivyo wakitoa ngoma inakuwa Kama muendelezo wa kupewa attention

WCB ni tawi la pongolo music ya naija inayoendeshwa kwa kuimba soft porn. Nyimbo nyingi ni monotomy na boring kwa wenye akili ila kwa wenye mahaba na u-team wataendelea kuskiiza Kila boko linalopigiwa promo.
wenye akili kama mimi watakuelewa.... wale wajinga hawatokuelewa kamwe na usishangae wakikushambulia
 
Pale wcb harmonize huwa haimbi ujinga huo mbona anajaza kila anapokwenda na show kibao tu anazo ...huna jipya mkuu tafuta nyengine sababu ... Never give up imeka kileleni zaidi ya wiki kuna sex uliosikia ndani yake ??

Harmo ameonesha nguvu kubwa sana mwaka huu lakini karibia nyimbo zake zote ni monotomy and boring, mashairi yake ya kiingereza ni yale yale ya kina davido, wizkid na wanaija wengine REPITITION. Beat zao ni zile zile, hakuna creativity tenaaa. Diamond kajitahidi kwa kumshirikisha Fally na kiukweli ule wimbo ni Bomb ila Beat imekosa msisimko na ukitaka kulijua hilo sikiliza beatz za namna hiyo za man walter.

mimi sisikilizi mainstream Music kwa promo maana mimi mziki mzuri sio makelele na soft porns. Napenda nyimbo za Diamond lakini nyingi ni zile za mwanzo.Diamond ni mtunzi na muimbaji mzuri ila kwa sasa yupo commercial, anatoa club bangz za kukaa miez miwili. Yaani hata kiba labda kwenye MBIO, nyingine ni Kama copy ya formular za WCB ila tofauti yeye haimbi SOFT PORN.
Mimi sicomment kishabiki ila naangalia kitu kizuri, hebu sikiliza EXTRAVAGANZA na ulinganishe na hizo nyimbo za kiki au msikilize Ruby kwa melody na kila kitu halafu uje na hizo mainstream music. Fungua macho maana wengine PROMO ndo kazi zetu hivyo, hatuyumbishwi na vinyago tunavyojua kuvitengeneza.
 
wenye akili kama mimi watakuelewa.... wale wajinga hawatokuelewa kamwe na usishangae wakikushambulia

Muziki umeingia team mkuu. Wenye uwezo wamewekwa kando ila mashudu yanasikilizwa kwa beef za kutengenezwa, muziki umejaa PROMO na watu ndo hivyo wanaendeshwa tu na Kiki za insta kabla ya kutoa ngoma. Kinachofurahisha kwa sasa Drama zimeanza kuchokwa, wenye akili wanatafuta watu wa kuwasaidia kupush kazi zao professionally. Wengine bado wanahangaika na KIKI zilizochokwa na kinachofuatia ni kutoa ngoma mfululizo ili mradi wabaki kileleni. Zama mpya , old tricks ni lazma tu wapumulie mashine. TUSEME WENYE AKILI WATAELEWA
 
Hahahaha
Hadi umeandika kuhusu RHUMBA MEANS UMEISKIZA NA SIJAJUA UNAWAZUNGUMZIA WATU GANI MANA NGOMA IPO #2 TRENDING na soon itaanza kubamba kwenye top zote as ussually na ingekuwa kama unavyosema CHIBONGE YA KINA MARIOO ISINGESUMBUA,IOKOTE isingesumbua....unachotaka kutuaminisha umefeli kakojoe ukalale RHUMBA linachezeka vizuri tuuu kaka.
 
Harmo ameonesha nguvu kubwa sana mwaka huu lakini karibia nyimbo zake zote ni monotomy and boring, mashairi yake ya kiingereza ni yale yale ya kina davido, wizkid na wanaija wengine REPITITION. Beat zao ni zile zile, hakuna creativity tenaaa. Diamond kajitahidi kwa kumshirikisha Fally na kiukweli ule wimbo ni Bomb ila Beat imekosa msisimko na ukitaka kulijua hilo sikiliza beatz za namna hiyo za man walter.

mimi sisikilizi mainstream Music kwa promo maana mimi mziki mzuri sio makelele na soft porns. Napenda nyimbo za Diamond lakini nyingi ni zile za mwanzo.Diamond ni mtunzi na muimbaji mzuri ila kwa sasa yupo commercial, anatoa club bangz za kukaa miez miwili. Yaani hata kiba labda kwenye MBIO, nyingine ni Kama copy ya formular za WCB ila tofauti yeye haimbi SOFT PORN.
Mimi sicomment kishabiki ila naangalia kitu kizuri, hebu sikiliza EXTRAVAGANZA na ulinganishe na hizo nyimbo za kiki au msikilize Ruby kwa melody na kila kitu halafu uje na hizo mainstream music. Fungua macho maana wengine PROMO ndo kazi zetu hivyo, hatuyumbishwi na vinyago tunavyojua kuvitengeneza.
Hahaha
 
Back
Top Bottom