ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
We fukara mi sio level yako.. Mi usafiri wangu ni Ndege Fast Jet ndani ya dakika chache nimeshafika ninakokutaka, usinifananishe na wachimba chumvi wenzako
Nimekupenda bure sijui unatumia kinywaji gani?
.huyu laki si pesa ni wema na fake id hapa jf.usipoteze nae muda honey faithMbona haujielewi?Tulia kwanza unajua kuzomewa sio mchezo eeeh?Usicomment mara mbili mbili kwa kumtetea domo kama mnampenda baba masifa wenu mwambie aache dharau na sifa
.huyu laki si pesa ni wema na fake id hapa jf.usipoteze nae muda honey faith
Breakng news. Baraza la sanaa BASATA limesimamisha tamasha la fiesta linaloratibiwa n clouds media kwa mda wa miaka 5 baada ya kukaidi amri ya mahakama ya kutomtumia msanii wa nigeria Davido ktk tamasha hilo baada ya kupokea pingamizi kutoka times fm mbali na amri hiyo pia msanii huyo aliperform bila kuwa n kibali kutoka BASATA.
.huyu laki si pesa ni wema na fake id hapa jf.usipoteze nae muda honey faith
Breakng news. Baraza la sanaa BASATA limesimamisha tamasha la fiesta linaloratibiwa n clouds media kwa mda wa miaka 5 baada ya kukaidi amri ya mahakama ya kutomtumia msanii wa nigeria Davido ktk tamasha hilo baada ya kupokea pingamizi kutoka times fm mbali na amri hiyo pia msanii huyo aliperform bila kuwa n kibali kutoka BASATA.
Tatizo watu wa Dar kula miguu ya kuku na utumbo kumewaathiri sana..Mi niko songea hapa juzi kulikuwa na uvumi wa ujio wa Diamond mji mzima ulijaa hekaheka, Huyo Ali kiba wenu hakuna anaemjua ...
We fukara mi sio level yako.. Mi usafiri wangu ni Ndege Fast Jet ndani ya dakika chache nimeshafika ninakokutaka, usinifananishe na wachimba chumvi wenzako
Yaani wewe ndo diamond mwenyewe maana kauli zenu ndo hzo hzo......hao wala miguu ya kuku ndo walitoa kiingilio chao na kuingia hapo leaders.Wanapaswa waheshimiwe
Kilele cha fiesta siku ya jana tarehe 18 octoba 2014 Tanzania na dunia nzima kwa ujumla imeshuhudia msanii Ally Kiba akioyesha kuwa uchawi hauna nafasi kabisa kwenye muziki baada ya kumkalisha Diamond ambaye siku chache zilizopita alijinadi kupitia Clouds fm kuwa yupo tayari kumsaidia Ally Kiba kufanya nae collabo na sasa kibao kimemgeukia yeye ndiye atakayesaidiwa kufanya collabo.
MASHABIKI: Mashabiki walikuwa hawataki kusikia lolote zaidi ya Ally Kiba. Mashabiki wengine walienda mbali zaidi na kusema bora wasimuone T.I wao wanamtaka Ally Kiba tu.
DIAMOND AZOMEWA KAMA MBWA: kila akiimba mashabiki kila kona ya uwanja walikuwa wakimzomea Diamond huku wakitaka Ally Kiba arudi stejini. Mashabiki wasikika wakisema ''kiba kiba kiba kiba kiba'' huku wakimzomea Diamod ''buuuh buuuh buuuh''
Diamond apata wakati mgumu, Davido na Ney wa Mitego watumika kumbeba Diamond lakini mashabiki hawakuacha kumzomea.
DIAMOND ATAFUTA MCHAWI WAKE: Diamond huku akitapa tapa anahisi amechezewa mchezo na Clouds fm au Ally Kiba eti kwa kile anachokiita mafanikio yake, mashabiki wamjibu ''nani akuchukie wewe? kwa mafanikio yapi? kubadilisha wanawake au kutokumaliza nyumba? kama tunachukia mtu mwenye mafanikio wa kwanza angekuwa Mengi na Bakhresa sio mtu ka wewe''
Alizomewa Kikwete mwaka 2012 pamoja na Yoweri Museven chuo kikuu cha dar es salaam, who is Diamond bwana?
Msanii huyo aliyekulia Tandale na kufanya biashara ya kuuza mitumba na voucher, siku kadhaa zilizopita alinukuliwa na vyombo vya habari kuwa Jiji la Mbeya halina hotel inayoendana na hadhi yake, baadhi ya mashabiki kutoka Mbeya pia waahidi kumzomea siku akienda Mbeya.
Ukweli ni kwamba Diamond kwasasa hapendwi nchini Tanzania, si kwamba ni msanii mbaya ila sababu kubwa ni dharau zake na kiburi. Hivyo aashauriwa aache kusingizia watu. ''Waliomzomea ni watu waliotoka kwao na wakalipa pesa zao''
Nimeamini kuwa ''MBELE YA ALLY KIBA UCHAWI HAUNA NAFASI''
Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
mbeya hamna hoteki yenye hadhi yake ?!&
kweliii diamond amekosea
Dar kumejaa mafukara na masikini wa kutupwa wanaoshindia mihogo ya kukaanga na miguu ya kuku.. Hao ndio hawampendi Diamond kwa sababu ana pesa
labda diamond ajiulize kwa nini masanja mkandamizaji hachukiwi? nani asiyejua jinsi jamaa alivyo na hela? hata lady jaydee pia na kama ni suala la maisha mazuri basi hata jux na mtu kama cyril wangechukiwa pia...chunga kauli zako mr nassibu
labda diamond ajiulize kwa nini masanja mkandamizaji hachukiwi? nani asiyejua jinsi jamaa alivyo na hela? hata lady jaydee pia na kama ni suala la maisha mazuri basi hata jux na mtu kama cyril wangechukiwa pia...chunga kauli
zako mr nassibu