Nasikia walinzi wa pembeni wote wawili wamekubuhu kwa kuwapiga misumari wapinzani wao!! Hii taarifa nimedokezewa na mdogo wangu Popoma! Sasa sijui ina ukweli!!mfano upande wa Mohammed Hussein tukisema uwezo unambeba utapinga
Maana nikikumbuka Ile game ya 5 kwa 1...naona kwl Kuna haja ya wing back ila kila wanaokuja wanaishia kusotea benchUwezo anao ila sio wa kutisha.
Sio kila mchezaji anarogwa, wengine ni kufeli kulingana na mazingira, aina ya uchezaji wa timu (majukumu anayopewa), uwezo wa mchezaji kua mdogo kulingana na mahitaji ya timu (hapa makanjanja wanapiga hela za usajili) mfano JOBE, Omary Omary, Kijili, Mutale.Vp kuhusu sawadogo nae alirogwa?
Wapi Aziz Ki na Boka?Habari wanasports.
Katika mambo ambayo yanaikwamisha simba kupiga hatua hasa ndani ya uwanja ni UCHAWI.
Wachezaji wanarogana sana hivyo timu inakua ngumu kufikia malengo yake kwa wakati.
Kramo, Fraga, Kwassi, Mugalu, Ngoma(alienda kwao kurekebisha mambo, sasa mambo yanakaa poa na anataka kuongezewa mkataba)
Kuna kipindi Bocco na Kagere zilikua haziivi, Kapombe vs Mwenda.
Simba watafute namna ya kuyaweka sawa haya mambo.
Waendelee wote kwa Deonise Mutalemwa wakaoshwe miguu uchawi uwatokeHabari wanasports.
Katika mambo ambayo yanaikwamisha simba kupiga hatua hasa ndani ya uwanja ni UCHAWI.
Wachezaji wanarogana sana hivyo timu inakua ngumu kufikia malengo yake kwa wakati.
Kramo, Fraga, Kwassi, Mugalu, Ngoma(alienda kwao kurekebisha mambo, sasa mambo yanakaa poa na anataka kuongezewa mkataba)
Kuna kipindi Bocco na Kagere zilikua haziivi, Kapombe vs Mwenda.
Simba watafute namna ya kuyaweka sawa haya mambo.