Siasa na Simba hawewez kua na mshambuliaji mzuri kama yule.Kwann sasa walimuacha
Una maanisha Simba wako unga kwenye talent acquisition, management & retaintionMzungu alikuwa bora na tuliona ubora wake, kale ka okwa kalikuwa bora ni namba 8 mzuri saana wakaleta uhuni...
Mzungu walimtema kisa mlevi okrah. Yule mzungu alikuwa kazidiwa na moses phiri tu..
Umemaliza...Mazingira ya kule na huku ni tofauti. Unadhani ukimchezesha cr7 manungu atafunga kama alivyo Al nassry?
Hiyo ndio mchawi kwa wachezaji wengi kutoka ushuani.Umemaliza...
Tuliona jamaa ni mzuri....angetusumbua sana .. that's y tuli pressurelize atokeWatanzania wengi ni wanafiki sanaaa...tena baadhi ya wanaume wanaongoza..nyie ndo mlikua wa kwanza kumcheka mara ohhoo sijui nini mara ohoo mikimbio...leo ndo mnamuona mzuri?? Mabata mzinga nyie...